jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #21
I appreciate kazi nzuri ya JINGALAO.. MWANADIWANI and Mr CHIN...... you guys were the stars..... I salute you guys..... mlikuwa mnapambana na kundi la maharamia 160 ambao full time walikuwa wako online wakitumia AVTAR tofauti tofauti lakini mliweza kuwabana nisha...... NIMEMALIZA KAZI YANGU KANDA YA ZIWA ....narudi katika maisha yangu ya kawaida na sitasikika mara kwa mara tena kwenye huu ulingo...I will miss you guys big time!
MwanaDiwani alipambana sana yaani majukumu ya jukwaani na mtandaoni ili kuwaletea watanzania kilicho bora
Last edited by a moderator: