Team Lowassa walikuwa disorganised!

intelligence yao ilikuwa ina deal na team membe, mwandosya na makongokoro wakasahau kila mtu alie chukuwa form ni threat kwao wakazidiwa ujanja na intelligence ya jk iliweza kudukua taarifa kutoka kwao lakini wao wakashindwa kudukua taarifa kwa intelligence ya jk mwisho wa mchezo makombola ya s-300 ya jk intelligence yakaidungua ndege yao na kwa vile walikuwa awana plan B bt jk intelligence walikuwa na mpaka plan D plan A ilikuwa membe plan B ilikuwa magufuli plan c ilikuwa January na plan D ilikuwa migilo bt plan B imeshinda
 
Hahaaaaaaaaaa...is it real??
Hv kama wasomi wanaamini uchawi..vp kwa wasiosoma kabisa?

January ukoo wao wote hadi Mzee wao wao hiyo imani haibanduki kwao ni Kama Membe pale wizara yake wote wanajua kuwa imani yake ni mganga kwanza kisha mengine baadae .
 
Andika vixuri basi kwa kituo ili tukuelewe. Umeandika kwa haraka mno!
 
January ukoo wao wote hadi Mzee wao wao hiyo imani haibanduki kwao ni Kama Membe pale wizara yake wote wanajua kuwa imani yake ni mganga kwanza kisha mengine baadae .

alafu mtu kama huyo ndio akija kanisani msikitibu kwenye harambee au ibada wanampa siti ya mbele na wanamruhusu panda madhabahuni...
 
Katika hali ya kawaida Wale akina Sophia Simba,Nchimbi, Kimbisa mimi hata sikuwaelewa:
1.Kwanini walikimbilia kwa waandishi wa habari wakati wanamsemaji wa chama?
2.Kwanini hawakupambana huko huko ndani ya kikao?
3.Inamaana waliingia kikaoni wakiwa na mgombea wao?
4.Kimaadili suala lile ikoje?
5.Ina maana wale vijana waliokuwa wakifanya vurugu pale nje walikuwa ni sehemu yao?
 
Ni kweli kabsa unachosema lakini ujue huo mvutano huo ulichochewa sana na fitna za Membe.
 
Hivi magazeti ya Rostam yatabeba ajenda gani sasa baada ya mtu wo kutolewa?
 
Team lowassa waliongozwa na matumaini na walidanganywa na miluzi ya washangiliaji wakaamini wanapata ridhaa ya CCM lakini wenzao waliangalia potential hazards za kupoteza kwa wapinzani kutokana na ukubwa wa tuhuma ambazo kama chama wasingeweza kusieleza kwa umma.

Kibaya tu kwamba hawakujiandaa kushindwa
 
alafu mtu kama huyo ndio akija kanisani msikitibu kwenye harambee au ibada wanampa siti ya mbele na wanamruhusu panda madhabahuni...

Ndiyo ujue kuwa wengi wa viongozi wetu ni wa Aina gani?
 
Niko ninajiuliza kwamba, hii team kwa muda mrefu imekuwa inatoa misaada misikitini na makanisani kabla ya uteuzi. Je sasa baada ya uteuzi timu hii itaendelea na utoaji misaada misikitini na makanisani ili kuwe na mwendelezo ili watu wasije sema kwamba ile misaada ilikuwa ya kutafuta urais tu.
 
Kiufupi jogoo alishindwa kuwika badala yake aliwika bata.Aahh!!aahh!!ahhh!!!
 

Usiseme uongo kura zenu mlimpa Samoa Ally
 

Na alikopita aliwapa boda boda pesa eti wanakuja kumpokea sasa najiuliza akiwa anaenda tena sahivi watampokea tena kwasababu wanampenda?
 
Hii hoja ya kwamba kukatwa kwa Membe imewapooza mashabiki wa Lowasa ni hoja hafifu sana, Malengo yalikuwa EL agombee uraisi kupitia CCM hivyo kimkakati Membe hakuwa threat kabisa, kifupi ni umafia tu umetendeka kukata jina lake tokea kamati ya usalama na Maadili....
Kwa umri wa Lowasa hana cha kupoteza endapo atajitoa ndani ya CCM na kwenda kupitishwa na chama kingine kuwa mgombea uraisi kutimiza ndoto yake hiyo.... Ukweli ni kuwa kokote atakapoenda kwa upepo ulivyo sasa EL atakuwa ni zaidi ya threat kwa CCM.
kwa historia ya ukanda wetu huu wa Africa mashariki vyama tawala vilivyowapa Uhuru nchi nyingi vilianguka pale tu ambapo mtu aliyekubalika ndani kukatwa na kuamua kwenda kujiunga na vyama pinzani e.g Kenya & Zambia
Hivyo kwa kufuata historia hiyo EL bado ana fursa kubwa sana ya kufanya maajabu kwa kipindi hiki kifupi kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu akiwa njee ya CCM.

Regards
Cosmas
Mchambuzi Huru.
 
Hawa team ya Lowasa watakiwa wameenda kujitumbikiza baharini kuogopa aibu
 

Mkuu,hii failure sio ya mtu mwingine yeyote awaye,ni failure ya LOWASSA...

Msijaribu kupotosha,wengine wote ni insignificant,ni failure ya Lowassa aliejifanya mkubwa kuliko taasisi!!

It is more of a Lowassa failure than anybody else!
 
Kingunge ndie alikuwa kansa ktk safari ya matuamini.
 


Thubutu!

mumkome!
 
ha ha ha ha, mungu anaangalia mwisho na sio mwanzo. Kwisheny, Lowasa hakuwa na ma strategist bali aliwa confuse washikaji na watekaji. Hiyo safi sana International school ya Wakina Lau, kinje Joseph kusaga karudi toka Dubai akijua ushindi ni wao, ephramim kibonde, Bashe, Kingunge, nchimbi sofia simba ndio vichwa cha Mamvi, pole sana hata, ile nyomi ya mafisadi Arusha ndio aliona imemtoa, pale pale wakali tulichua kachemsha, kweli sayansi haina siasa, kila tulichoon kimetokea hakuhitaji expatriate kujua kama hamnazo, kweli akili ni nywele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…