Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

mhogoz

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,372
Reaction score
2,309
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
 
Mimama ya ndoa mbona inalika tu, Oeni vijana kabla hamjazeeka, ila mfahamu kwamba wake zenu watakuwa wanagawa mbususu kama njugu huko nje wakiombwa haijalishi mnawapelekea moto sana ndani au mko goigoi. Oeni mpate watoto wa kuendeleza koo zenu
 
Kuna mama mmoja anamshangaa jamaa mmoja hajaoa tena tangu aachwe na mke wake yapata miaka mitano sasa. Huyo mama anamuambia kwa umri alio nao atafute mama mwenye watoto kuanzia wawili aoe maana mwenye mtoto mmoja au asiye na mtoto atamsumbua. Jamaa alimjibu kuwa kuliko kuoa mama mwenye watoto wengi bora asioe kabisa aendelee kuishi peke yake, anasema hataki kero na familia ya mtu mwingine. Hana mke kwa sasa ila mbususu za rejareja anazipata sana tu na tayari ana mtoto mwingine huko alikopata mbususu ya rejareja
 
Nilikuwa nazungumza na demu flan huvi ,sasa ni mke wa mtu.alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex,baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
Peleka moto na wa Kwako apelekewe moto na kakata majani ya ng'ombe! Hiyo inaitwa both teams to score!
 
Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao wakatimu/wakatimuliwa, ndio maana masuala ya ndoa hawayataki tena. Ila mbususu wanakula sana tena kwa jazba na ghadhabu, wanakula kwa kufakamia wakiwa na mentality ya kulipiza kisasi kwa waliyofanyiwa na wake zao, sijui wanalipiza kisasi kwa nani wakati wake zao waliishaachana nao kitambo. Unakuta msela anakula mbususu tatu tofauti kwa siku moja, ana mademu wengi wa reja reja ili tu asikose mbususu kila anapojisikia hamu ya kunyandua anachagua wa kuwaita waje getoni kwake au gesti akamalize hamu zake. Ishu kubwa ya kataa ndoa ni hofu ya kusalitiwa na misala yake ndoani
 
Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao wakatimu/wakatimuliwa, ndio maana masuala ya ndoa hawayataki tena. Ila mbususu wanakula sana tena kwa jazba na ghadhabu, wanakula kwa kufakamia wakiwa na mentality ya kulipiza kisasi kwa waliyofanyiwa na wake zao, sijui wanalipiza kisasi kwa nani wakati wake zao waliishaachana nao kitambo. Unakuta msela anakula mbususu tatu tofauti kwa siku moja, ana mademu wengi wa reja reja ili tu asikose mbususu kila anapojisikia hamu ya kunyandua anachagua wa kuwaita waje getoni kwake au gesti akamalize hamu zake. Ishu kubwa ya kataa ndoa ni hofu ya kusalitiwa na misala yake ndoani
 
Hatujaoa ili kumzuia mwanamke asiliwe nje, tunaoa ili kuanzisha family kihalali chief, ndio lengo halisi la ndoa
kwa hiyo uko radhi mke wako azabutuliwe nje kisa tu umemuoa, fahamu kuwa utachomekewa mtoto wa nje na utalea ukidhani ni wako ametoka kiunoni mwako. Sawa, una mawazo ya wazee wetu hawakutaka kuanzisha varangati kisa tu wake zao wanagawa uroda nje. Waliishi nao muda wote mpaka mwisho wa uhai wao kwa mtazamo kama ulio nao
 
kwa hiyo uko radhi mke wako azabutuliwe nje kisa tu umemuoa, fahamu kuwa utachomekewa mtoto wa nje na utalea ukidhani ni wako ametoka kiunoni mwako. Sawa, una mawazo ya wazee wetu hawakutaka kuanzisha varangati kisa tu wake zao wanagawa uroda nje. Waliishi nao muda wote mpaka mwisho wa uhai wao kwa mtazamo kama ulio nao
Hakuna ambaye kawahi kuweza kumzuia mwanamke kutiwa nje labda aamue mwenyewe kukituliza. Hutaweza, na hata wa kwako ameshawahi kutiwa nje ni vile hujajua tu.
 
Wanaume waache wivu kwa wake zao hawataweza kuwadhibiti wasinyanduliwe na wanaume wengine. Ni kuwa mpole tu na kufahamu kuwa mkeo analiwa nje, haina haja ya kuanzisha ugomvi tulia uchapiwe, huo ndio ukweli wa maisha ya ndoa
 
Ukioa we jua tu mko wengi mnaochangia penzi hata kama we ndio ulimbikiri ipo siku atataka kuonja mpiko wa nje una ladha gani. Kama kuna mwanaume mke wake hajawahi kugawa uroda nje aseme poa na kama kuna mwanaume hajawahi kula mke wa mtu aseme freshi tu
 
Achana na wake za watu¡ na wewe yatakukuta ndo ujue kama ni vizuri kuwafanyia wenzio...
 
Wewe jipe umaarufu siku umeoa ukachapiwa mke wako ndo utajua dunia ipoje
 
Back
Top Bottom