Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
😄😄😄😄

Kuna wasanii wa zamani kidogo waliimba ukiamua kitu chagua moja usijistukie.
1.Chagua kusua au kunyoa.
2. kula mke wa mtu au kuacha.
3. kusema uongo au ukweli.

📌Amua moja acha kujistukia, ila bear in mind utamu utausika wewe, na ikitokea umebambwa baby care au mate utapakwa wewe🤗

Mambo madogo kama haya mtu mzima hashauriwi.Ukiweza kuamua kwenye dillema situation kama hiyo bila msukumo wowote kutoka nje,basi jua umeshafanikiwa pakubwa maishani mwako!!!


#KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!
 
Hii timu iko sawa 100% ila ndio hivyo hatuna jinsi tutaoa tu kwa sababu zingine
 
Kuna wakati hawa kataa ndoa wanakuwa na hoja maridhawa, si wa kubezwa na kuwaona ni wabovu na wame left group. Ni wazima na wanapeleka moto kisawasawa kwa demu yeyote atakayejipendekeza kwenye anga zao. Kataa ndoa wengi ni wale waliowahi kuoa wakaja kusalitiwa vibaya na wake zao wakatimu/wakatimuliwa, ndio maana masuala ya ndoa hawayataki tena. Ila mbususu wanakula sana tena kwa jazba na ghadhabu, wanakula kwa kufakamia wakiwa na mentality ya kulipiza kisasi kwa waliyofanyiwa na wake zao, sijui wanalipiza kisasi kwa nani wakati wake zao waliishaachana nao kitambo. Unakuta msela anakula mbususu tatu tofauti kwa siku moja, ana mademu wengi wa reja reja ili tu asikose mbususu kila anapojisikia hamu ya kunyandua anachagua wa kuwaita waje getoni kwake au gesti akamalize hamu zake. Ishu kubwa ya kataa ndoa ni hofu ya kusalitiwa na misala yake ndoani
Acha kutuchafua kataa ndoa, sisi ni kweli tuna mademu wengi na hii ni kanuni ya kuishi bila kumnyenyekea mtu kisa maku yake.

Infact lazima uwe na options za kutosha ukitaka kufanikiwa kwenye jambo lolote hapa duniani. Hivyo kuwa na option ya wanawake inakufanya uwe top notch, never simping to nobody for the sake of nyau!!!!

#KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!
 
Mwili wake uchi wake unalinda nn ?? Linda afya na kipato chako na watoto wako kwa wivu mkubwa!!!
Tunazichapa ila kitu cha msingi sio kuwaza anakusaliti au anatoka na nani, bali afya yangu na kibunda kiasi gani nitaspendi kuizagamua.

📌📌📌Kitu cha msingi ni kujua status yake ya GRID YA TAIFA,HEPATITIS B,KASWENDE,GONO.

Baada ya hapo ni kuzichapa mpaka nisikie harufu ya mishikaki Gademit!!!
 
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
Umekutana na Malaya hao, wake zetu wanajiheshimu
 
Acha kutuchafua kataa ndoa, sisi ni kweli tuna mademu wengi na hii ni kanuni ya kuishi bila kumnyenyekea mtu kisa maku yake.

Infact lazima uwe na options za kutosha ukitaka kufanikiwa kwenye jambo lolote hapa duniani. Hivyo kuwa na option ya wanawake inakufanya uwe top notch, never simping to nobody for the sake of nyau!!!!

#KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!
Red Me alianza hivi hivi sasa hivi anataka kuhasiwa🤣🤣

Dogo achanana hizi Kampeni usizojua Mwanzo wake na malengo yake
 
Red Me alianza hivi hivi sasa hivi anataka kuhasiwa🤣🤣

Dogo achanana hizi Kampeni usizojua Mwanzo wake na malengo yake
😄😄😄😄 Red-me Kanji bahi atakuwa alikuwa tungi. Kataa ndoa for life, we here to last longer!!!

Jamaa anataka kuwa billionea so ukute anaona ngeye ndo pingamizi yeye kufikia malengo yake.Wacha afanye anachoweza alimradi ni maamuzi yake binafsi.

📌Kataa ndoa ili ukiona mada za kuchapiwa usipate vipele vya baridi!!!
 
Back
Top Bottom