Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

Kuna mama mmoja anamshangaa jamaa mmoja hajaoa tena tangu aachwe na mke wake yapata miaka mitano sasa. Huyo mama anamuambia kwa umri alio nao atafute mama mwenye watoto kuanzia wawili aoe maana mwenye mtoto mmoja au asiye na mtoto atamsumbua. Jamaa alimjibu kuwa kuliko kuoa mama mwenye watoto wengi bora asioe kabisa aendelee kuishi peke yake, anasema hataki kero na familia ya mtu mwingine. Hana mke kwa sasa ila mbususu za rejareja anazipata sana tu na tayari ana mtoto mwingine huko alikopata mbususu ya rejareja
Pole kwa kuondokewa na mke mkuu.
 
Mambo ni mawili tuu, wanaume tuoe single mother au Malaya 😂
 
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
Aisee
 
Ukiona demu umekuja kujuana nae akiwa na miaka kuanzia kumi na nane, ndo mnafahamiana asee sali sana mkuu, Kuna familia zime lea Mzee yani unamchukua mtoto akiwa hajui chochote kuhusu mahusiano ina mana anajifunzia kwako sasa we ukapalamie Binti asha kitembeza Kwa huyu mara huyu mara yule unadhani hapo Kuna ndoa bro
 
Oa bikra
Basi sawa...
Kuna jamaa yetu ana Fanya kazi barber shop ni kinyozi, alikua anatupa stori alioa Binti mwenye heshima mpaka familia Yao ina heshima balaa yani dini ipo ya kutosha lakini KESI kila siku mvuligano kila siku ACHA TU alikuja kuoa baadae kademu Fulani ka barmaid ndo akatulia jamaa anakwambia asee Bora kidogo nikashisha pressure kule ilikua mperampera
 
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo ya kijamii mengi,.

Sasa muwewe kasafiri yupo nje na Dar ,nikaomba mbususu kaniambia nifuate fasta.mwingine tulikytana nae kwenye semina huko nyanda za juu kusini ,kwenye msosi kila akiniona lazima aje ajibebishe kwangu,kidogo mim sio mtu wa masihara nimekaa kikauzu,basi mwisho wa siku akaomba namba nikampa,ni mke wa mtu mumewe ni mfanya biashara anakilato kikubwa,huyu manzi kaniambia mumewe hampi moto kwa hyo anataka nimpelekee moto,nimejaribu kutafakari haya mambo ,nafsi inanisuta ijapokuwa ijapokuwa home nako ni balas
Haya unayoyasema na mkeo anafanya hayohayo.
 
Kuna jamaa yetu ana Fanya kazi barber shop ni kinyozi, alikua anatupa stori alioa Binti mwenye heshima mpaka familia Yao ina heshima balaa yani dini ipo ya kutosha lakini KESI kila siku mvuligano kila siku ACHA TU alikuja kuoa baadae kademu Fulani ka barmaid ndo akatulia jamaa anakwambia asee Bora kidogo nikashisha pressure kule ilikua mperampera
Kila mmoja atapata wa kufanana nae, jiulize alioa mwenye dini yeye mwenyewe amesimamia misingi ya dini? Akampata barmaid manake ndio huyo wa kufanana nae
Basi sawa...
 
Oa bikra
Basi sawa...
Kuna jamaa yetu ana Fanya kazi barber shop ni kinyozi, alikua anatupa stori aliona Binti mwenye heshima mpaka familia Yao ina heshima balaa yani don ipo ya kutosha lakini KESI kila siku mvuligano kila siku ACHA TU alikuja kuoa baada ya kikao kademu Fulani ka barmaid ndo akatulia jamaa anakwambia asee Bora kidogo nikashisha pressure kule ilikua mp
Kila mmoja atapata wa kufanana nae, jiulize alioa mwenye dini yeye mwenyewe amesimamia misingi ya dini? Akampata barmaid manake ndio huyo wa kufanana nae
Basi sawa...
Huyo jamaa ni sheikh we unasema wakufanana nae tena swala tano huyo jamaa, tulikutaniana MSIKITINI ndo chanzo cha urafiki wetu, yule dada alikua kaacha kazi lakini mapito yake ashawahi kua barmaid
 
Mnajisifia kupewa mbususu za wake wa wenyewe mkipostiwa na Millad mpo kwenye viroba familia zenu zinalalamika
 
Kuna jamaa yetu ana Fanya kazi barber shop ni kinyozi, alikua anatupa stori aliona Binti mwenye heshima mpaka familia Yao ina heshima balaa yani don ipo ya kutosha lakini KESI kila siku mvuligano kila siku ACHA TU alikuja kuoa baada ya kikao kademu Fulani ka barmaid ndo akatulia jamaa anakwambia asee Bora kidogo nikashisha pressure kule ilikua mp

Huyo jamaa ni sheikh we unasema wakufanana nae tena swala tano huyo jamaa, tulikutaniana MSIKITINI ndo chanzo cha urafiki wetu, yule dada alikua kaacha kazi lakini mapito yake ashawahi kua barmaid
"Kila mmoja ni mjuzi wa nafsi yake" kuna ya siri na ya dhahiri. Point ni ile ile mwizi na mwizi mwenzie na mzinzi na mzinzi mwenzie.
Basi sawa...
 
Back
Top Bottom