#TeacherBae

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,091
Reaction score
136,650
Hapo juzikati kuna mwanadada mmoja aitwaaye Patrice Brown, mwalimu wa darasa la nne jijini Atlanta, USA alibandika picha yake moja kwenye mtandao wa 'Gram [that's Instagram for you dunderheads] ya kigauni alichonyuka na kwenda nacho kazini.

Halwoho! Picha si ikazua sokomoko huko hadi kutungiwa hashtag yake [[HASHTAG]#teacherbae[/HASHTAG]] kwenye mtandao wa Twitter ambayo ili trend kwa siku mbili tatu hivi.

Mambo ya kileo hayo. Kitimtim kinaanzia 'Gram halafu kinashika kasi Twitter!

Kama ilivyo ada ya mitandao ya kijamii, suala kama hilo lazima lilete safu [anuwai] ya maoni mbalimbali.

Wapo waliomponda na kusema hicho kivazi hakifai mbele ya wanafunzi wadogo wa darasa la nne, wapo ambao hawakuona ubaya wowote ule [kama mimi wenu mtiifu], na kadhalika.

Ila kusema ukweli mimi walimu kama Ms. Brown ndo hunifanya nipate mzuka wa kuhudhuria mikutano ya PTA!

Hivi mtu unaanzaje kushindwa kwenda kwenye PTA huku ukijua kuna viumbe tunu kama Ms. Brown?

Hata mwanao anaweza kukushangaa na hata kutokukusamehe kabisa!

Haya twendeni kazi....huyu ndo Ms. Brown bana....ana ushepu unaoitwa 'hourglass'.






 
juzikati nini maana ya hili neno, kwa kweli linanichanganya, maana yake ni nini? ni juzi
au katikati ya majuzi na juzi? au?
 
juzikati nini maana ya hili neno, kwa kweli linanichanganya, maana yake ni nini? ni juzi
au katikati ya majuzi na juzi? au?

Juzi, majuzi, siku chache/ kadhaa zilizopita..
 
...teacherBae shake your bid bum things.....utamisije pindi sasa
 
Mtamu sana huyo ningekuwa Mimi pindi lake sikosi asilani
 
Ngabu Ukirudi USA fanya Unilengeshe anapoishi huyo ticha babeki
 
Ingekua bongo kila siku nampeleka mwanangu mpka darasan aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…