Te Amo, Asprin, Fidel 80 na Klorokwin

Mi ntakuwa nashauri kinamama.
Kina baba utawashauri wewe
Bibi anatakiwa aje kufanya nini?

Weita...........hebu leta wanzuki hapa..........naona Askofu wa mapepo ananizengua tu hapa!

Bibi atawashauri wamama, wewe utawashauri wababa
ndo maana nataka nimpe bibi semina, sema Amen...

Nilikuwa na wasiwasi na mahudhuria yako,
kumbe una lako jambo, ushindwe...
 
naona umeanza kupiga ndogo ndogo......!

huyu ndazi niachie mimi we kaendelee na blakiwomani:becky::becky::becky:

Hehehehehe....kijana acha wivu....

wajukuuz are for babu and babu onle!!!
 
Bibi atawashauri wamama, wewe utawashauri wababa
ndo maana nataka nimpe bibi semina, sema Amen...

Nilikuwa na wasiwasi na mahudhuria yako,
kumbe una lako jambo, ushindwe...

Aisee we Pengo wa JF,

Peana mimi kazi ya kushauri wanawake waliotalikiwa, na wajane kwa ujumla (Wajane na prefer wale ambao waume zao wamekufa ghafla kwa ajali, siyo baada ya kuugua muda mrefu.......):glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Badala ya kusikiliza "banjuka tu"
unasikiliza "twinkle twinkle little star"

kwa kizazi hiki ha dot com, twinkle twinkle imechukua nafasi hata ya taarifa ya habari na isidingo pia, nyumbani hakutoshi. Hata kama una TV ya pili, utakuja itwa ukajiunge, lol, kubeba mimba si kazi kazi jamani...
 
Aisee we Pengo wa JF,

Peana mimi kazi ya kushauri wanawake waliotalikiwa, na wajane kwa ujumla (Wajane na prefer wale ambao waume zao wamekufa ghafla kwa ajali, siyo baada ya kuugua muda mrefu.......):glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Stop it men, your killing me.teh teh
PS.
Another reason to take it to the bar,nyumbani huwezi kuwaita "Nyie ng'ombe maji wa mayai..." unless you want a mouth full of washing liquid,trust me kuna 'laha' yake!
 
Asprin my libs....Jamani nimecheka...asprin wewe ni noumer...dah.....wajane u preffer waume zao walio kufa ghafla...ha ha ha ha...Duu watu dunia hii.
 
kwa kizazi hiki ha dot com, twinkle twinkle imechukua nafasi hata ya taarifa ya habari na isidingo pia, nyumbani hakutoshi. Hata kama una TV ya pili, utakuja itwa ukajiunge, lol, kubeba mimba si kazi kazi jamani...

kweli kabisa mamaake
watoto siku hizi baby sitter ni TV...
kipindi kile chetu ni mchanga nyumba ya jirani mmmhhh
 
Kwanini hatupigii mitungi home?

1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.
Uko vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom