Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Hata wewe mpenzi ndo umeamua kuja kusema hili libakuli humu.
Kibaya zaidi wife akiwa Vuvuzela dah noma sana
Kibaya zaidi wife akiwa Vuvuzela dah noma sana
Mi ntakuwa nashauri kinamama.
Kina baba utawashauri wewe
Bibi anatakiwa aje kufanya nini?
Weita...........hebu leta wanzuki hapa..........naona Askofu wa mapepo ananizengua tu hapa!
naona umeanza kupiga ndogo ndogo......!
huyu ndazi niachie mimi we kaendelee na blakiwomani:becky::becky::becky:
Vp hurudi kitandani?
Beer unaweza kunywa huku umelala?
Bibi atawashauri wamama, wewe utawashauri wababa
ndo maana nataka nimpe bibi semina, sema Amen...
Nilikuwa na wasiwasi na mahudhuria yako,
kumbe una lako jambo, ushindwe...
Badala ya kusikiliza "banjuka tu"
unasikiliza "twinkle twinkle little star"
kwa kizazi hiki ha dot com, twinkle twinkle imechukua nafasi hata ya taarifa ya habari na isidingo pia, nyumbani hakutoshi. Hata kama una TV ya pili, utakuja itwa ukajiunge, lol, kubeba mimba si kazi kazi jamani...
Naenjoy a glass of wine home kuliko Bar!
Aisee we Pengo wa JF,
Peana mimi kazi ya kushauri wanawake waliotalikiwa, na wajane kwa ujumla (Wajane na prefer wale ambao waume zao wamekufa ghafla kwa ajali, siyo baada ya kuugua muda mrefu.......):glasses-nerdy::glasses-nerdy:
kwa kizazi hiki ha dot com, twinkle twinkle imechukua nafasi hata ya taarifa ya habari na isidingo pia, nyumbani hakutoshi. Hata kama una TV ya pili, utakuja itwa ukajiunge, lol, kubeba mimba si kazi kazi jamani...
namkubali sanaAsprin we mkaliiiii......
Uko vizuri mkuuKwanini hatupigii mitungi home?
1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.
Hahaha mkuu naona umefukua kaburi la makinikia. Enzi hizo nlikuwa nimevurugwa na valeur. Faru John lilikuwa halijazaliwaUko vizuri mkuu
Hahahaha inakata stimuBadala ya kusikiliza "banjuka tu"
unasikiliza "twinkle twinkle little star"
Aisee haya mkuu pamojaHahaha mkuu naona umefukua kaburi la makinikia. Enzi hizo nlikuwa nimevurugwa na valeur. Faru John lilikuwa halijazaliwa
Haya mkuu... kila la kheri kwenye ufukuzi wa makaburi...Aisee haya mkuu pamoja