TCU yafungua mfumo wa udahili wa pamoja(CAS) kwa mwaka wa masomo 2016/2017

Attachments

  • Screenshot_2016-07-21-05-32-55.png
    Screenshot_2016-07-21-05-32-55.png
    34.2 KB · Views: 75
Naomba mtu anifahamishe DEADLINE YA APPLICATIONS ZA TCU NI LINI?

Naomba ukiweza niibox.
Nimeangalia kwenye website yao hakuna, na kwenye guidebook yao hawajaweka.
 
Mbona nikiingia katika account yangu ya TCU pale kwenye profile inaniletea jina jengine naombe msaada kwa anayefahamu
 
Msaada kwenye tuta wapendwa: mie sikubahatika kwenda shule nilihitimu darasa la saba tu: shida yangu naomba mnisaidie kuwa hata wanaomba diploma nao wafungue hicho kitabu cha mwongozo cha TCU au wao wataomba kozi kwa utaratibu upi? naomba ushauri wa kujenga wazee, msinikejeli please!
Ss km umehitimu la saba diploma ya nn mkuu
 
Msaada kwenye tuta wapendwa: mie sikubahatika kwenda shule nilihitimu darasa la saba tu: shida yangu naomba mnisaidie kuwa hata wanaomba diploma nao wafungue hicho kitabu cha mwongozo cha TCU au wao wataomba kozi kwa utaratibu upi? naomba ushauri wa kujenga wazee, msinikejeli please!
Subir nacte wakifungua uta unga hko
 
Jaman naskia waliopata division three wanaenda diploma je ni kweli? Nakama nikweli wanaombaje admision maana nacte ilishafunga. NAOMBA MWENYE UFAHAMU JUU YA HILI ATUJUZE KIDOGO.
 
Jaman naskia waliopata division three wanaenda diploma je ni kweli? Nakama nikweli wanaombaje admision maana nacte ilishafunga. NAOMBA MWENYE UFAHAMU JUU YA HILI ATUJUZE KIDOGO.
Soma guidebook 2016/2017 ww una vigezo apply huna fanya plan nyengne 3 zipo za aina nyingi inaanzia 13 to....... Km unahisabu division utakuja kulia chuo unaenda kwa principal pass and point stop confuse ur mind
 
Kuna mdogo wa kike anataka achague course,ana ECE_PCM,alitaka achague
1.Water system and irrigation eng chuo cha maji ubungo

2.Water tena Sua.

3.Architecture_ARIDH

4.Electrical _DIT

5.Chemical processing eng_udsm

Sijui atapenya maana kakataa kabisa kuchagua education.

Target yake ni course namba 1.Ushauli muhimu mkuu.
electrical dit usimshauri,atatoka damu aiseee.
 
Wakuu.msaada mdogo wangu wa kike ana DDC ya HGL msaada wa Course gani ya kusomaa nje ya Education...na vyuo gani anaweza apply kwa hayo.matokeo..msaada please!
 
Jaman huu unyanyasaji sasa,
Kila bachelor's inayomuhusu mtu anaesoma art et ni NON PRIORITY.
kama vp fungien hayo masomo watu wasisome alaf tuone nchi inayoongozwa na sayans inakuaje.
shit!!!!!!!!!!
 
Nimesomu huu uzi nimegundua kabisa watu wengi hawajasoma guide book na hawataki kusoma sasa sijui ni kutokana na kushindwa kuwa na computer!

Ngoja nitafute muda ni wawekee kitabu chote humu page kwa page...
 
Nimesomu huu uzi nimegundua kabisa watu wengi hawajasoma guide book na hawataki kusoma sasa sijui ni kutokana na kushindwa kuwa na computer!

Ngoja nitafute muda ni wawekee kitabu chote humu page kwa page...
Watanzania na hasa hiki kizazi hawataki kusoma, tena hicho guide book ilivyo ndefu na wengi kizungu hakipandi ndio panapoanzia uvivu wa kusoma, wanataka watafuniwe tu.
 
Back
Top Bottom