TCU yabadili baadhi ya vigezo kwa mwaka 2020 kwa baadhi ya kozi

Habarini wana JF,

Husikeni na mada tajwa hapo juu, kiukweli nimeipitia guide book ya mwaka huu 2020/2021 nikagundua mabadiliko mengi ya vigezo vya cut point za kusomea kozi za afya ukilinganisha na miaka iliyopita 2019 kurudi nyuma.

Kwa upande wa form six holders ipo hivi:
  • Kozi ya medical doctor kwa sasa imeshushwa na kuwa point 6 (with minimum of D in chemistry) ambapo mwaka jana ilikuwa point 8.0 (with minimum of C in chemistry)
  • Kozi ya veterinary medicine imepandishwa na kuwa point 4.5 ambapo mwaka jana ilikuwa 4.0
  • Kozi ya biotechnology and laboratory science ya pale sua imepanda na kuwa 4.5 kutoka4.0
Kwa upande wa diploma holders wanaotaka kuapply wanaotaka kuapply kozi za afya wamepewa bata kubwa sana yani vigezo vya GPA vimeshuka kutoka GPA ya 3.5 hadi gpa ya 3.0 kwa kozi zote za afya.

Tupeane mawazo wakuu imekaaje hii na je ni vitu gan vingine au kozi gan nyingine zilizoshushiwa au kuongezewa point. Hapo chini ni TCU guide books za form six holders na diploma holders kwa mwaka wa masomo 2020/202.

NawasilishwaView attachment 1512466View attachment 1512467
GPA ya udsm kubwa sana bila kujali course na kwanini afya zishuke hvo wakati ni Mambo sensitive
 
kwa afya wamezingua sana ,o level angalau wangeweka minimum qualifications ingekuwa grade C ' sasa mtu anaenda doctor of medicine kwa alama D' o level? serious? ??
Na clinical medicine GPA wangeacha ile ile 3.5

NB:Mtu kafeli kidato cha nne halafu anaenda kuwa daktari wa binadamu ..kazi kweli kweli,
We jamaa D ya advance unaichukuliaje..
 
Ushauri jamani naomba,asome nini mwenye matokeo haya:

Chemistry-E
Biology -C
Geography-D

BAM -D
GS -D

Ana two ya 12. Sasa kozi ya kusoma ya afya kama ipo na zingine nzuri kulingana na mwongozo wa TCU huu
 
kwa afya wamezingua sana ,o level angalau wangeweka minimum qualifications ingekuwa grade C ' sasa mtu anaenda doctor of medicine kwa alama D' o level? serious? ??
Na clinical medicine GPA wangeacha ile ile 3.5

NB:Mtu kafeli kidato cha nne halafu anaenda kuwa daktari wa binadamu ..kazi kweli kweli,
Mk
nimesema D ya O'level, vilevile advanced level ukipata D wew ni kilaza sana tu'udaktari tunahitaji kuanzia div 1 ya 3 mpaka 6 tu.umefeli kidato cha nne/sita utaweza kweli kutibu mwili wa binadamu???
Mkuu badilisha mindset.

Mtu anaweza kuafeli kidato cha nne na baadae akajakuwa daktari mzuri tu.

Kuna sababu nyingi sana za mtu kufeli.

Hakuna mahusiano ya udaktari na kufaulu form four.

Mtu anaweza kuwa kafeli lakini akija akaingia kwenye field ya udaktari akifundishwa anaiva vizuri tu maadamu anafundishwa udaktari wenyewe haijalishi myda.

Serikali ikiamua kuwa hata ukipata f ya biology unaweza kusoma dokta basi kweli inawezekana.
 
Ushauri jamani naomba,asome nini mwenye matokeo haya:

Chemistry-E
Biology -C
Geography-D

BAM -D
GS -D

Ana two ya 12. Sasa kozi ya kusoma ya afya kama ipo na zingine nzuri kulingana na mwongozo wa TCU huu
Ningekuwa mimi ningemuambia arudie mtihani wa chemistry
 
Mk

Mkuu badilisha mindset.

Mtu anaweza kuafeli kidato cha nne na baadae akajakuwa daktari mzuri tu.

Kuna sababu nyingi sana za mtu kufeli.

Hakuna mahusiano ya udaktari na kufaulu form four.

Mtu anaweza kuwa kafeli lakini akija akaingia kwenye field ya udaktari akifundishwa anaiva vizuri tu maadamu anafundishwa udaktari wenyewe haijalishi myda.

Serikali ikiamua kuwa hata ukipata f ya biology unaweza kusoma dokta basi kweli inawezekana.
safi sana
 
Wale wote wanaotaka kuomba mkopo (HESLB) Na wanaotaka kuomba vyuo mbali mbali.
- Nipo kuwasaidia wale wote wenye uhitaji wa ku apply mkopo na chuo. Au kuwaongoza hatua baada ya hatua jinsi ya ku apply.
- Vyote hivyo kuanzia mwanzo mpaka kukamilika nakufanyia kwa bei poa ya elfu tano tu (5,000/= tu)
- Huku nikikupatia na username pamoja na password zako kujihakikishia nilichofany na kuangalia account yko pale itakapohitajika.
- Huduma hii ni kwa wote/popote ulipo ndani ya Tanzania hii. Kila kitu kitaenda sawa. Maan nimepata maswali mengi kwa walio mikoani.
- Nitafute whatsapp au sms za kawaida kupitia namba hizi 0734131743.
- Vitu vyote vinavyohitajika wakati wa uombaji mkopo na chuo nitakueleza ukinitafuta kupitia namba izo apo.
NYOTE MNAKARIBISHWA
Hivi mkuu na Private candidate aliyefaulu vizuri akiwa na vigezo vya kupewa mkopo ivi huwa wanapewaga kweli ama huwa ni watahiniwa wa shule tu
 
Ardhii University imebadilika Amna Tena umuhimu wa BAM ni Advance mathematics na physics O-level na mathematics ya O-level tofaut na mwaka Jana kbx
Kwenye guidebook imeandikwa hivi: kwa kozi ya AR001

Two principal passes in the following subjects: Advanced Mathematics, Physics, Chemistry, Economics, Geography or Fine Art at grade ‘D’ or above. In addition, an applicant must have at least a subsidiary pass in Advanced Mathematics at A-Level and a minimum of “D” grade in Physics at O-Level.

Lakini kwenye website ya Chuo imeandikwa hivi: kwa kozi hiyo hiyo

Two principal passes in any of the following; Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography and Fine Art. If one of the principal passes is not Mathematics, a subsidiary pass in Advanced Mathematics/Basic Applied Mathematics or Credit pass in O-level Mathematics is required.

Je yanafanana? Kama hayafanani tufuate lipi?
Halafu online application inakuletea
Service Temporarily Unavailable
Sijui walikuwa wapi muda wote bila kujiandaa!
 
Kasheshe zaidi ipo IAA; ukiapply, kama kuna mahali kwenye A level una E, inakuandikia kuwa E ni Fail
 
Ningekuwa mimi ningemuambia arudie mtihani wa chemistry
Umetoa Boko haswaaa mkuu, Mtu ana vigezo vya Degree kwann asisome hata Education tu huko!! Arudie akasome Nini sasa;?? Wakati karibia Degree zote ni CUT OFF ni 4 tu na yeye ana 5 Kabisa!!!
 
Mk

Mkuu badilisha mindset.

Mtu anaweza kuafeli kidato cha nne na baadae akajakuwa daktari mzuri tu.

Kuna sababu nyingi sana za mtu kufeli.

Hakuna mahusiano ya udaktari na kufaulu form four.

Mtu anaweza kuwa kafeli lakini akija akaingia kwenye field ya udaktari akifundishwa anaiva vizuri tu maadamu anafundishwa udaktari wenyewe haijalishi myda.

Serikali ikiamua kuwa hata ukipata f ya biology unaweza kusoma dokta basi kweli inawezekana.
Yaaah, na kama aliyefaulu form iv na akafeli hyo PCB form VI ina maana hana akili.
Hvyo sio wakati was kumdharau aliyefeli form even if amepata zero
 
Mk

Mkuu badilisha mindset.

Mtu anaweza kuafeli kidato cha nne na baadae akajakuwa daktari mzuri tu.

Kuna sababu nyingi sana za mtu kufeli.

Hakuna mahusiano ya udaktari na kufaulu form four.

Mtu anaweza kuwa kafeli lakini akija akaingia kwenye field ya udaktari akifundishwa anaiva vizuri tu maadamu anafundishwa udaktari wenyewe haijalishi myda.

Serikali ikiamua kuwa hata ukipata f ya biology unaweza kusoma dokta basi kweli inawezekana.
Tena mwambie mambo sensitive siyo udaktari tu, Engineering is so sensitive kuliko udaktari kwa maisha na maendeleo ya dunia yetu, economics, law etc... Jamaa anaonekana bado fresher
 
Yaaah, na kama aliyefaulu form iv na akafeli hyo PCB form VI ina maana hana akili.
Hvyo sio wakati was kumdharau aliyefeli form even if amepata zero
Si ndo hapo mkuu.

Wanasahau kuwa elimu ya o level inampeleka mtu kwenye udaktari kwa sababu serikai ndo imeweka hivyo huo utaratibu.

Lakini serikali ikiamua kuwa sasa hata ukiwa na F ya history unaweza kwenda kusoma udaktari ikiwa utataka mwenyewe na unapenda udaktari basi inawezekana.

Mtu akaanza kufundishwaa na waalimu wataalamu wazoefu wenye uweledi kwa umakini kabisa basi unatoa madaktari wazuri kabisa.

Suala la form four kufaulusayansi ni kwa sababu hilo ndo daraja la kukufikisha kwenye udaktari.

Ila unaweza kutumia njia nyingine ukavuka mto hata kwa kuogelea ukafika ng'ambo ya pili(udaktari)

Mtu utaskia anasema "kupasua mtu kichwa unampeleka na D ya biology ?

Kwani hiyo D ya biology ya form four ndo imefundisha mpaka mtu kupasua kichwa ?

Wakati huo huo anakubai kuwa mtu akitoka form four na PCB yake yenye AAA hawezi kutibu mgonjwa hata kidogo,sasa kama haya kufaulu ndo kigezo cha udaktari si angeweza yule aliyepata AAA za PCB form four au six ?

Hizo kombi ni daraja tu,mambo yako ng'ambo.

Ila kwa kuwa serikali ndo imeweka basi lazima tupite katika taratibu hizo,kikubwa tuliofeli form four tusibezwe
 
Tena mwambie mambo sensitive siyo udaktari tu,
Anasahau kuwa hata vyombo vya ulinzi na usalama ni sensitive kabisa.

Ila angalia mtu smbae ana four ya kidato cha nne anaenda jeshini ama upolisi anatoka ni askari safi kabisa,sasa unajiuliza kama kapata four na kafuzu mafunzo ya kijeshi vizuri ina maana masomo yake ya form four yanahusiana na jeshi ?

Kuwepo kwa masharti tofauti na jambo husika kunaleta shida ikowemo ya kudumaza mindset za watu kuwa jambo husika hilo mtu hawezi kulifanya hata akifundishwa mpaka akidhi masharti ya awali.
 
Back
Top Bottom