Naona mapema sana maana 6 mamemaliza juu tuHizi apa guidebook mpya kutoka TCU download uangalie vigezo vya kujiunga na kila fani
Ukiwa una swali lolote lile unaweza kuuliza.View attachment 1512249View attachment 1512250View attachment 1512248
Telemsha na DiplomaHizi apa guidebook mpya kutoka TCU download uangalie vigezo vya kujiunga na kila fani
Ukiwa una swali lolote lile unaweza kuuliza.View attachment 1512249View attachment 1512250View attachment 1512248
Naona mapema sana maana 6 mamemaliza juu tu
[/QUOTEasante kwa taarifa
Tatizo ni UDSM wao kwà Diploma lazima uwe na GPA 3.5 tena wamebold kabisa ili usiseme hukuona!!!
Tatizo ni UDSM wao kwà Diploma lazima uwe na GPA 3.5 tena wamebold kabisa ili usiseme hukuona!!!
Kwani walioweka D ni pass unawaona hawana akili.?kwa afya wamezingua sana ,o level angalau wangeweka minimum qualifications ingekuwa grade C ' sasa mtu anaenda doctor of medicine kwa alama D' o level? serious? ??
Na clinical medicine GPA wangeacha ile ile 3.5
NB:Mtu kafeli kidato cha nne halafu anaenda kuwa daktari wa binadamu ..kazi kweli kweli,
kufeli kidato cha nne haina maana kwamba um'bovu kichwani..kwa afya wamezingua sana ,o level angalau wangeweka minimum qualifications ingekuwa grade C ' sasa mtu anaenda doctor of medicine kwa alama D' o level? serious? ??
Na clinical medicine GPA wangeacha ile ile 3.5
NB:Mtu kafeli kidato cha nne halafu anaenda kuwa daktari wa binadamu ..kazi kweli kweli,
Mimi pia nilizoona zimeshuka ni Doctor of Medicine na Bachelor of Pharmacy vigezo ni kuwa na D in PCB.Habarini wana JF,
Husikeni na mada tajwa hapo juu, kiukweli nimeipitia guide book ya mwaka huu 2020/2021 nikagundua mabadiliko mengi ya vigezo vya cut point za kusomea kozi za afya ukilinganisha na miaka iliyopita 2019 kurudi nyuma.
Kwa upande wa form six holders ipo hivi:
Kwa upande wa diploma holders wanaotaka kuapply wanaotaka kuapply kozi za afya wamepewa bata kubwa sana yani vigezo vya GPA vimeshuka kutoka GPA ya 3.5 hadi gpa ya 3.0 kwa kozi zote za afya.
- Kozi ya medical doctor kwa sasa imeshushwa na kuwa point 6 (with minimum of D in chemistry) ambapo mwaka jana ilikuwa point 8.0 (with minimum of C in chemistry)
- Kozi ya veterinary medicine imepandishwa na kuwa point 4.5 ambapo mwaka jana ilikuwa 4.0
- Kozi ya biotechnology and laboratory science ya pale sua imepanda na kuwa 4.5 kutoka4.0
Tupeane mawazo wakuu imekaaje hii na je ni vitu gan vingine au kozi gan nyingine zilizoshushiwa au kuongezewa point. Hapo chini ni TCU guide books za form six holders na diploma holders kwa mwaka wa masomo 2020/202.
NawasilishwaView attachment 1512466View attachment 1512467