TCU waweka round ya nne!

TCU waweka round ya nne!

Dr.viruz

Senior Member
Joined
May 28, 2013
Posts
183
Reaction score
155
Wale wa 3rd round Angalia profile yako kama umechaguliwa au la...
Goodluck kwa wale wa 4th round mpate vyuo..
 
9k=
 
wale wa 3rd round Angalia profile yako kama umechaguliwa au la...
goodluck kwa wale wa 4th round mpate vyuo..

ntajuaje kama nmechaguliwa ama la mana naingia kwenye profile yangu sioni taarfa ya 4th round applcatn wala kama nmechaguliwa zaid ya row yeny code.institution.priority.selected?(by tcu).admitted?(by institution) patupu bila ya kujazwa izo sehemu so sijui inamaansha nn???
 
mbna mi cjaona changes zozote zaid ya waiting for aprov vip jamaa mwenye changes atujuze mana nipo dilema
 
ntajuaje kama nmechaguliwa ama la mana naingia kwenye profile yangu sioni taarfa ya 4th round applcatn wala kama nmechaguliwa zaid ya row yeny code.institution.priority.selected?(by tcu).admitted?(by institution) patupu bila ya kujazwa izo sehemu so sijui inamaansha nn???

ukiona hivyo ujue ndo umechaguliwa...
ila kwa sasa bado system yao inasumbua kudispay chuo ulichopangiwa na coz
 
mbna mi cjaona changes zozote zaid ya waiting for aprov vip jamaa mwenye changes atujuze mana nipo dilema
kama ni waiting for approval usiwe na wasiwasi maana hata wa 1st round ni hivyo hivyo cha msingi angalia jina lako kwa chuo ulichochaguliwa provisionally.
 
ukiona hivyo ujue ndo umechaguliwa...
ila kwa sasa bado system yao inasumbua kudispay chuo ulichopangiwa na coz

Ukitaka kujua umepangwa chuo gani...ingia kwenye icon imeandikwa SELECTION RESULTS FOR 2015/2016...ipo kwenye homepage ya CAS.
 
TCU waongeza round ya nne mpaka 23/10.Haya ni masuala ya kisiasa au wewe mwana jf una maoni gani?
 
Mmefeli sana na BRN yenu sasa TCU wanajaribu kuwabeba ili wote muende chuo.
 
Wewe! kwani kuna division inayochukuliwa mwaka huu,ambayo ilkuwa inaachwa previously? ww VP?
 
Hilo linawahusu waliomaliza miaka ya nyuma ambao kwa sasa wanaonekana kama walifeli ukilinganisha na BRN ya mwaka huu. Ili kuweka uwiano na kuhakikisha kuwa wote walioomba mwaka huu na wana vigezo waende chuo
 
Back
Top Bottom