Kwani uongo? Matokeo hayakutoka mara mbili?? Mbeleko hadi University, duh mmetisha.
ntajuaje kama nmechaguliwa ama la mana naingia kwenye profile yangu sioni taarfa ya 4th round applcatn wala kama nmechaguliwa zaid ya row yeny code.institution.priority.selected?(by tcu).admitted?(by institution) patupu bila ya kujazwa izo sehemu so sijui inamaansha nn???
Jamani ata mm nimuhanga cjui nifanye nn cozi Nina GPA ya 2.7 PCB BT cjachaguliwa chuo chochote up to now even private na nilijaza education kwa sana du hata him cjawaambia
matokeo yako ya o level yapoje?
daaah nichek kwa namba hii tushauriane n bora tuende diploma mkuu 0672038870 nitafte plz tuone la kufanyadah, upo kama mimi ndugu yang, hakuna jinsi tusubr tu mwakan, au kama utaweza kwenda diploma afya itakuwa vzur zaid.
Kwa mujibu wa haya matokeo next year wanaweza perform more kuliko haya soo kuhairisha mwaka may not be the best solution ni heri kama unapenda uanze diploma kwa course ya afya unayopenda au ubadilishe mwelekeo tuu kwa fani nyingne kama bussiness coz ni watu wengi wamekosa na kufanya maamuzi magumu kama hayo na sio kuhairisha mwaka no ukikosa lets say bahati mbaya next year utahairisha tena come on_some times you have to let it go huwezi jua uliandikiwa nn ila kaa chini ufanye maamuzi sahihi
daaah diploma ya afya xoma medical officer naweza nkapata???
unataja combination yako ili upate nini .wewe umefeli hata kamaPCB
acha kujikweza bwg ww huwez jua mungu kakupangia nn
Kwa mujibu wa haya matokeo next year wanaweza perform more kuliko haya soo kuhairisha mwaka may not be the best solution ni heri kama unapenda uanze diploma kwa course ya afya unayopenda au ubadilishe mwelekeo tuu kwa fani nyingne kama bussiness coz ni watu wengi wamekosa na kufanya maamuzi magumu kama hayo na sio kuhairisha mwaka no ukikosa lets say bahati mbaya next year utahairisha tena come on_some times you have to let it go huwezi jua uliandikiwa nn ila kaa chini ufanye maamuzi sahihi
Kwa taarifa za uhakika Wazir wa elimu Dr Shukuru Kawambwa amesema mpango wa mwakani ni kuongeza ufaulu Zaid ya mwaka huu, hii ndo brn... mtafakari na mchukue hatua haraka iwezekanavyo
daaah nichek kwa namba hii tushauriane n bora tuende diploma mkuu 0672038870 nitafte plz tuone la kufanya
haina nouma mkuu