TCU waweka round ya nne!

TCU waweka round ya nne!

unazngua acha upumbavu kila kitu BRN acha ujinga we ulipata ngap au unatak kufananisha 4 yako na one ya brn pumbavu kweny certificate inaandikwa distinction peke yake hamna BRN haiko kwny certificate

Kamwe huwez fananisha div 1ya Dr Ndaluchako na distinction ya BRN '' One people different color ''
 
BRN form six Matokeo ya kubebwa wajazana vyuoni na vichwa vyao vibovu,tuliofaulu ni sisi wa enzi za nyuma ninyi ampaswi kujisifu bumbavu.

Kabisaa...ila itafahamika chuoni,lazima wateee
 
unazngua acha upumbavu kila kitu BRN acha ujinga we ulipata ngap au unatak kufananisha 4 yako na one ya brn pumbavu kweny certificate inaandikwa distinction peke yake hamna BRN haiko kwny certificate

Dogo ujue humu unaongea na ma TO,watu waliopata one za 7 o level na a level 3,kwa hiyo kitulize.
 
wakuu nimechaguliwa IFM kozi ya bachelor of science in social protection sasa nataka nifanye transfer kwnd chuo kingine na pia nibadilishe kozi huko ninakotaka kwenda je inawezekana na ni hatua gani natakiwa nianze kuchukua
 
wakuu nimechaguliwa IFM kozi ya bachelor of science in social protection sasa nataka nifanye transfer kwnd chuo kingine na pia nibadilishe kozi huko ninakotaka kwenda je inawezekana na ni hatua gani natakiwa nianze kuchukua

Transfer unaeza fanya but mpaka ufanye yafuatayo!!
1:kuwa registered frst hcho chuo ulichopangwa.
2:Cheki entry points zako ukilinganisha na faculty hiyo unayotaka kwenda kama umekidh hapo then omba nafac directly hapo ktk hcho chuo unachotaka but uwe na admission letter toka ulikopangwa ili iwe evdenc ya kuwa regstrd.
3:kama wamekukubali;watakupa barua ya uthbtsho na faculty uliyopata wataandka;then utaenda nazo TCU;so TCU utaenda na barua mbili ya ulipopangwa na faculty yake pamoja na ulipopata nafac(chuo kngne) na fclty yenywe.
4:Then TCU wataifanya hyo transfer yako waitaji kwa muda uliozingatiwa.
5:KAMA vp ufanye transfer wkt Tcu watakapofungua soon dirisha hlo la uhamisho toka chuo kimoja kwnd kingn ya "first come;first served basis" HOPE UMENIPATA.
 
Kama unataka kuomba transfer usijisajili kwenye chuo ulichopangwa!
Taratibu za trasfer zitatolewa kwenye website ya TCU.
Tafadhali pendeni kuthibisha habari za JF kwenye vyanzo rasmi vinginevyo unaweza kukosea!
 
Transfer unaeza fanya but mpaka ufanye yafuatayo!!
1:kuwa registered frst hcho chuo ulichopangwa.
2:Cheki entry points zako ukilinganisha na faculty hiyo unayotaka kwenda kama umekidh hapo then omba nafac directly hapo ktk hcho chuo unachotaka but uwe na admission letter toka ulikopangwa ili iwe evdenc ya kuwa regstrd.
3:kama wamekukubali;watakupa barua ya uthbtsho na faculty uliyopata wataandka;then utaenda nazo TCU;so TCU utaenda na barua mbili ya ulipopangwa na faculty yake pamoja na ulipopata nafac(chuo kngne) na fclty yenywe.
4:Then TCU wataifanya hyo transfer yako waitaji kwa muda uliozingatiwa.
5:KAMA vp ufanye transfer wkt Tcu watakapofungua soon dirisha hlo la uhamisho toka chuo kimoja kwnd kingn ya "first come;first served basis" HOPE UMENIPATA.

asante mkuu nimekupata
 
Kama unataka kuomba transfer usijisajili kwenye chuo ulichopangwa!
Taratibu za trasfer zitatolewa kwenye website ya TCU.
Tafadhali pendeni kuthibisha habari za JF kwenye vyanzo rasmi vinginevyo unaweza kukosea!

Mkuu cjampotosha huyo aliyeuliza kuhusu transfer coz mwaka jana nilikuwa regstred st john na kwa 7bu kadhaa ckutaka huko;hvy niliomba chuo kngn na wakataka admssion letter kuwa nipo regstered that year. Na mwk huu ipo hyo ya online wanayodai malipo na pia waweza pata chanc kwngn na ukapata tranfer;so muhim uwe na entry points zinazokidh na ufuate taratbu zote
 
Back
Top Bottom