TCU waweka round ya nne!

TCU waweka round ya nne!

naona hii system inazidi kupoteza ubora wake kila siku na kuzidi kuzima ndoto za watu kuna dogo hapa kitaa ameshakata tamaa ya kujaza tena na anadai bora aende hata diploma ya course za Afya.

je kwa sasa anaweza kufanya aplication ya diploma kwa course za Afya?
 
BRN form six Matokeo ya kubebwa wajazana vyuoni na vichwa vyao vibovu,tuliofaulu ni sisi wa enzi za nyuma ninyi ampaswi kujisifu bumbavu.

Hahahahahaha...
Noma sana hio Br.. Hiyo mambo haipo kabisa.Kila mtu alifanya paper yake,nani mwenye uwezo wa kuibeba nchi nzima? kivipi kwa hali hii? Hilo la multiple selections huwa lipo tu,ni mfumo tu mwaka huu umekuwa tofauti kidogo,wamezingatia choice za watu. Pengine hujafaham maana ya BRN. Hio system inawahusu hawa walio fm 6 sasa na wadogo zao,Haikutuhusu hio.HAKUNA KILAZA HAPA.
 
Jamani ata mm nimuhanga cjui nifanye nn cozi Nina GPA ya 2.7 PCB BT cjachaguliwa chuo chochote up to now even private na nilijaza education kwa sana du hata him cjawaambia
 
Nikicheki fulcut zilizo bakia siioni hata moja ya sayansi nyingi ni education in art msaada wa mawazo tafadhari wadau
 
Daaaah mm ni muhanga lkn yote namuachia mungu ntaomba next year sbb coz zenyewe zimeisha
 
Jamani ata mm nimuhanga cjui nifanye nn cozi Nina GPA ya 2.7 PCB BT cjachaguliwa chuo chochote up to now even private na nilijaza education kwa sana du hata him cjawaambia

dah, upo kama mimi ndugu yang, hakuna jinsi tusubr tu mwakan, au kama utaweza kwenda diploma afya itakuwa vzur zaid.
 
bora tusubir mwaka kesho mkuu maana no way out

Kwa mujibu wa haya matokeo next year wanaweza perform more kuliko haya soo kuhairisha mwaka may not be the best solution ni heri kama unapenda uanze diploma kwa course ya afya unayopenda au ubadilishe mwelekeo tuu kwa fani nyingne kama bussiness coz ni watu wengi wamekosa na kufanya maamuzi magumu kama hayo na sio kuhairisha mwaka no ukikosa lets say bahati mbaya next year utahairisha tena come on_some times you have to let it go huwezi jua uliandikiwa nn ila kaa chini ufanye maamuzi sahihi
 
Jamani ata mm nimuhanga cjui nifanye nn cozi Nina GPA ya 2.7 PCB BT cjachaguliwa chuo chochote up to now even private na nilijaza education kwa sana du hata him cjawaambia

Mkuu Fanya Kuomba Diploma Hata Ya Nursing Au C.O Mapema Tena Ikibid Fanya Sasa Hv Kama Bdo Nacte Wanaruhusu Udahili..Hyo Combination Ulyosoma Ndugu Ukiiacha Ipotee Kzembe Hvo Utakuja Kujutia Daima....If Possible Ni Pm Contact Zko Nkujuze Ktu
 
naona hii system inazidi kupoteza ubora wake kila siku na kuzidi kuzima ndoto za watu kuna dogo hapa kitaa ameshakata tamaa ya kujaza tena na anadai bora aende hata diploma ya course za Afya.

je kwa sasa anaweza kufanya aplication ya diploma kwa course za Afya?

hakuna Tatizo TCU tatizo ni hawa applicants wanaoshindwa kufuata vigezo na kanuni na pia kufahamu juu ya vyuo wanavyochagua.
 
Wakubwa fanyeni mnavyoweza mpate mwaka huu, mkisubr mwaka kesho jam ndo itakua kubwa balaa...mm mwenyew yamebitokea hayo hayo...hamtapata ni bora ukaze sasaiv kwa kila njia
 
Back
Top Bottom