TCU waweka round ya nne!

TCU waweka round ya nne!

Mbona kuna coz zilikuwa zinaonyesha kabisa kunafree chances na dongo wangu alifaulu vizuri tu mwaka huu na bado zote hakuna waliomchagua... mi kwa sasa nimemshauri asomee diploma ya nursing tu maana hakuna jinsi tena..
 
ukiona hivyo ujue ndo umechaguliwa...
ila kwa sasa bado system yao inasumbua kudispay chuo ulichopangiwa na coz
afanye kuclick pale kwenye CAS-HOME then ashuke kwa chini pale atakuta wameandika "search for selection results"
ataclick pale na kuweka index ya form6/form4 then atasearch ataweza kuona kozi na chuo alichoenda.
 
jaman mi nmeandikiwa NOT SELECTED sijui tatizo ni nn na nina GPA 4.0 diploma?
 
Mbona kuna coz zilikuwa zinaonyesha kabisa kunafree chances na dongo wangu alifaulu vizuri tu mwaka huu na bado zote hakuna waliomchagua... mi kwa sasa nimemshauri asomee diploma ya nursing tu maana hakuna jinsi tena..

kwani mkuu aliekosa chuo kweny profile anaandikwaje mana wengne hatuoni fclt tulzopata wala option ya 4th round....
 
kama ni waiting for approval usiwe na wasiwasi maana hata wa 1st round ni hivyo hivyo cha msingi angalia jina lako kwa chuo ulichochaguliwa provisionally.
Yeah..wengi profile zao inaandika waitting for approvel,ila ukiangalia kwenye website ya chuo jina kama lipo ndo ushapata chuo....thats it
 
kwani mkuu aliekosa chuo kweny profile anaandikwaje mana wengne hatuoni fclt tulzopata wala option ya 4th round....

Naona wanaandika kuwa ujawa successfully kwa round tatu zilizopita
 
kwani mkuu aliekosa chuo kweny profile anaandikwaje mana wengne hatuoni fclt tulzopata wala option ya 4th round....

Anaandikiwa NOT SELECTED na kila chuo alichochagua .mbele anaandikiwa reasaon ya kukiikosaaa
mfano YOU DID NOT MEET MINIMUM QUALIFICATION ELEIGEBLE TO ADMISSION GUIDEBOOK
 
Mimi nimeandikiwa pia provitionaly selected UDOM,na coz ipo pale ila jinalangu Udom silioni...inakuaje..nisaidieni nipo under tention sana wadau
 
BRN form six Matokeo ya kubebwa wajazana vyuoni na vichwa vyao vibovu,tuliofaulu ni sisi wa enzi za nyuma ninyi ampaswi kujisifu bumbavu.
 
Back
Top Bottom