hahhahahahhahahahaaa Ipycalypse unachekesha walio nuna weye!!!!!!Usiondoke atakuja LORDVILLE kukujibu.
Wapendwa katika Elimu, hawa TCU wanatutania ? Mbona kimya kimezidi na hii ni Almost mida muafaka? ama mimi ndo ninapressure za bongo. Kama wameshindwa kazi basi waviache vyuo vifanye kazi zake wasitake tu kulamba 30,000 zetu wanyonge!
hahhahahahhahahahaaa Ipycalypse unachekesha walio nuna weye!!!!!!
chezea wana jf weye!!!!breaking newz
View attachment 61742
tuko ofisini 2nadiscuss tuweke heading gani ya kimombo au kiswahili ipi ina mvuto afu tunayaachia!!
Tuko ofisini 2nadiscuss tuweke heading gani ya kimombo au kiswahili ipi ina mvuto afu tunayaachia!!
yatatoka tu mkuu..kuwa na subra!!
Wewe inaonekana ni mmoja wa hao. maana kila siku ni kufariji hata pasipo farijika. ebu acha kutupaka wese kwa mgongo wa chupa.