Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
hahahahahaHebu tulieni huko ,mlipokimbilia kuomba daresalama mlikua mnadhani mchezo mchezo!??subirini vyuo vya tabora labda
mkuu punguza bhana watapata stroke asee,
unajua wote walijaza udsm waje watizame mataa ya ubungo.
ni dhahiri sasa watapangiwa vyuo vya simiyu.