Habari wana jamvi,
Napenda kuuliza kuhusu selection za TCU, hivi kwa watu walioandikiwa Provissionaly selected hadi chuo kiwathibitishe, ikitokea chuo hakijamthibitisha nini kitatokea kwao? Ikizingatiwa second round application ishapita. UDSM wametoa majina tayari baadhi ya watu hawamo akiwemo mdogo wangu, nini kitatokea.
Naomba ushauri wenu
Napenda kuuliza kuhusu selection za TCU, hivi kwa watu walioandikiwa Provissionaly selected hadi chuo kiwathibitishe, ikitokea chuo hakijamthibitisha nini kitatokea kwao? Ikizingatiwa second round application ishapita. UDSM wametoa majina tayari baadhi ya watu hawamo akiwemo mdogo wangu, nini kitatokea.
Naomba ushauri wenu