N
isaidie kwa hili bwana: Kijana wangu amepata physics B, chemistry B+ biology B+. akijaza UDM medicine inakataa kuwa point ni 5 zinazohitajika (system inasema yeye ana 4 wakati sio kweli). Vyuo vyote vingine vimekubali. anataka kujaza Muhimbili, CUHAS na Udom. Please help