TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

hahaha muwe na subira wote mtakuwa selected by NACTE next week
 
we unagongwa kwel, we unadhan xote tumefel 4m 4, kwa taarifa yako wengne 2na div one na two, *** u!!

Mkuu haukupaswa kumjibu mtu kama yule ..hapo anavyoongea kafeli la saba ndo kaenda VETA mm namjua .ni kishoka
 
Ukiona Info zako na capacity zako zmebadilika jua umeshachaguliwa!!!! xo be waiting.............afu leo ndo deadline 16.10.2015 saa 11.59 PM.

We ka nani? Utakuwa. Una pumuliwa kisogoni,
 
Kila aliyekuwa selected .mambo yamerudi upya .na hakuna tena cha selected .na sjui kwanni ?? Ila kesho jumamosi ..ngonja tuwasubiri jumatatu
 

Wanaoweza mudu masomo ya degree katika technical colleges ni diploma holders tu ila Form 6 mkachukue bachelor za engineering za kike za udsm,ardhi na udom,lakini dit,ATC,must ni engineering kweli na sio science in engineering
 
Kila aliyekuwa selected .mambo yamerudi upya .na hakuna tena cha selected .na sjui kwanni ?? Ila kesho jumamosi ..ngonja tuwasubiri jumatatu

muwe nasubira watu wako busy na mchakato wenu xo wait kmbukeni wengine wametuma maombi kusimamia uchaguzi xo just wait plz!!!!!.
 
we unagongwa kwel, we unadhan xote tumefel 4m 4, kwa taarifa yako wengne 2na div one na two, *** u!!

plz tfadhali xana usimtukane mtu kwakuwa amepost kitu ambocho ww hupendezew nacho plz TUHESHIMIANE
 
me nimetumiwa na chuo sms ya kwenda kuchukua join kwa hyo hata ikibadilika profile haina shida kwa sababu nimeshachaguliwa. kwa wale walio bado subirini udahili umefungwa kwa hyo kinachofuata kila atakaeona chochote kwenye profile yake basi ndo haki yake
 

chuo gani mkuu?
 
Yah Coet degree za kike ndio,huwez linganisha Bachelor of Engineering in Civil engineering ya Dit na Bachelor of Science in Civil engineering ya Coet.

Vijana msipagawe na majina ya course na vyuo.Chuo cha kweli ni MTAANI.Nendeni mkapige shule malizeni halafu mrudi mtaani hapo ndio mwanaume au mwanamke atajulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…