Jaman kuanzia tareh 9 tcu wali update profile za wafunzi wote ambao wameomba vyuo mbalimbali.wale ambao walibahatika kufungua account zao wapo ambao waliambiwa wamepata na wapo waliokosa.waliokosa wslikuta notification inayowataka wa appy second round kwa chuo kimoja tuu .kwa sasa cas haifunguki na kuna watu wengi sana hawajajua kuwa account zao zimeandikiwa je!!!? Je deadline ya second round ni lini na tcu watatoa post lin naomba msaada kwen wana forum
Yap CAS haifunguki tangu juzi,na nakumbuka kwa wale ambao walifanikiwa kuingia kwenye profile zao walikuta ujumbe,kwamba kwamba kama hujafanikiwa kupata 1st round utafanya reapplication mpaka hapo deadline itakapotangazwa,kama nimenukuu vibaya nitasahihishwa
wadogo zangu na wakubwa zangu fanyen mfanyavyo lakin uckosee ukaaplly st joseph yeyote maana utajuta hata kama ni tenth selectio! ni bora ukakosea kuoa kulikokuja st joseph
wadogo zangu na wakubwa zangu fanyen mfanyavyo lakin uckosee ukaaplly st joseph yeyote maana utajuta hata kama ni tenth selectio! ni bora ukakosea kuoa kulikokuja st joseph
Jamani nisaidieni nimeweka hii course hila siijui vizuri mwenye kuijua aniambie ipoje COMPUTER AND INFOROMATION SYSYTEM SECURITY-UDOM, JE hii course ni mzuri kushinada HEARTH INFORMATION SYSYTEM
Jamani nisaidieni nimeweka hii course hila siijui vizuri mwenye kuijua aniambie ipoje COMPUTER AND INFOROMATION SYSYTEM SECURITY-UDOM, JE hii course ni mzuri kushinada HEARTH INFORMATION SYSYTEM