Siyo kweli deadline ni tar 15 aug
Ila mchakato wa second roll ndio utaendelea mpaka tar 31.
Hiyo ndio taarifa rasmi.
Sababu kunavyuo vinafungua mwez wa tisa
deadline ikishafika hautoweza kuedit, kuadd au kuromove selection yako ya vyuo, 2nd round inakuja kama wiki 2 baada ya deadline na deadline wao wenyewe wameandika 31st, labda tuambie kama profile yako haiwezekana kuedit manake mi yangu kuedit inawezekana bado
Hellow, samahanini ndugu. Kuna ndugu Yangu kakosea kwenye kufanya registration ya chuo through NACTE. Ameingiza mwaka ambao sio aliomaliza likaja Jina la mtu mwingine, nini Cha kufanya hapo?
kila nikijaribu kuweza reg no ya diploma nalatewa ujuumbe huu
Examination/Graduation Year Names Mismatch with the names provided during registration, check the and try again (Code 4002)
kila nikijaribu kuweza reg no ya diploma nalatewa ujuumbe huu
Examination/Graduationu Year Names Mismatch with the names provided during registration, check the and try again (Code 4002)