Weka ktk pdf file moja hata kama ikichkua page mbili. Ukienda kuscan stationery waambie wascan it in such away that kama ziko page mbili ukiscrow down ukute ya pili, ila pdf file ni 1
jaman naombeni msaada kidogo mm nilikuw nataka ku apply diploma ualimu ila nimemalza advance 2012 ila nikienda kweny kuchagua vyuo course inakuja ya afya na teaching math & physics
jaman naombeni msaada kidogo mm nilikuw nataka ku apply diploma ualimu ila nimemalza advance 2012 ila nikienda kweny kuchagua vyuo course inakuja ya afya na teaching math & physics