TCU na Kozi za Udakitari

TCU na Kozi za Udakitari

buffer

Member
Joined
Oct 7, 2015
Posts
11
Reaction score
4
Wadau nataka kujua TCU wametumia vigezo gani kuwapata hawa au mwaka huu wanaosoma kizi hii ni distinction pekee? Wadau inaniuma sana nina merit lakini mpaka leo TCU hawajanichagua.

Kuna MTU yeyote mwenye. Merit au credit aliyechaguliwa? Wadau nipo njiapanda.
 
Nan alikwambia ufeli................matokeo yenyewe brn...then waliopata distinction kibao....we unataka merit yako upate.....shauri yako chuo hamna brn utajuta
 
Kcmc,udom,muhas,ajuco,na bugando both first na second

Ndo maana umekosa. Mwaka huu distinction za PCB ni nyingi sana na wote wenye distinction tume opt public universities sasa wewe kama ungekua mjanja vyuo vya private kama imtu,kairuki,st Joseph na vngne mfano wa hivyo ndo ungepata maana huko competition ni ndogo.
 
mbona mtu ana GPA 1.7,kachukulwa IMTU,tatzo ni vyuo ulvyoomba vilikuwa vna competition sana, kama uwezo kwenu unaruhusu fanya mpango wa vya private
 
Kcmc,udom,muhas,ajuco,na bugando both first na second

Sasa merit unajaza hadi muhas...!!!ungekomaa na udom ndo naona merits za 3.3 zipo bt ka wamezngua wafate tcu
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.
 
Mkuu pole sana tatizo ni vyuo ulivyoomba vina ushindani mkubwa ukizingatia mwaka huu ufaulu ni mkubwa sana.ungeshtuka mapema ungeomba vyuo kama imtu na st Joseph.

weka swala la gharama pembeni kama uwezo nyumbani upo hvyo vyuo unaweza somea japo ulikuwa na ndoto na vyuo vya bei rahisi.

Nikuulize swali moja bro kwani hii 3rd round Hamna vyuo vya afya vyenye slot za MD ?
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

sema familia hazna uwezo kuna vilaza weng tu wameenda IMTU,KIU na st.joseph...na GPA zao 1.7 huku waliopata GPA 3.0 familia zao hazwez kumudu gharama za prvate
 
sema familia hazna uwezo kuna vilaza weng tu wameenda IMTU,KIU na st.joseph...na GPA zao 1.7 huku waliopata GPA 3.0 familia zao hazwez kumudu gharama za prvate

Dogo hakufikilia hilo, bora angeenda huko huko kwa wafanya biashara (kcmc, bugando, etc) asa hadi muhas anajaza dah ,hakuwa serious kabisa, haya mwache aumize kichwa sasa akili imkae kwanza,
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

Duh!mkuu umetumia maneno makali sana,nahisi huyo dogo kashavunjika moyo tayari..!
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

Unaruhusiwa kujib lkn kuna njia za kujib ukipata merit haina maana ni kilaza


Anyway pole sana bro ila km una uwezo opt for private institution
 
Unaruhusiwa kujib lkn kuna njia za kujib ukipata merit haina maana ni kilaza


Anyway pole sana bro ila km una uwezo opt for private institution

Kwa medicine na kwa chuo kama Muhas na kwa BRN na kwa mwaka huu ambapo Combination kama PCB, CBG distinction za kumwaga ,huyo dogo acha nimwite kiraza.
 
Kwa medicine na kwa chuo kama Muhas na kwa BRN na kwa mwaka huu ambapo Combination kama PCB, CBG distinction za kumwaga ,huyo dogo acha nimwite kiraza.

Hawa wadogo zetu wanapaniki hasa iki kipindi inabd tuwa-please
Sis ndio wakuwaelekeza
 
Back
Top Bottom