Shadiel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 306
- 167
Chukua Diploma
tuwekee please hapa, utakuwa umesaidia
tuwekee please hapa, utakuwa umesaidia
Mkuu labda ufunguke zaidi-wanajadiliana nini, TCU wameweka utaratibu gani, na kikao cha tarehe 15 (mwezi gani) kilihusu nini?. Tuseme uko sawa-lakini bado TCU hawajatoa maelezo yakutosha (ile list imekamilika au vipi?). Lakini kuna vyuo na masomo ambayo si ya afya visivyo/yasiyo onekana. Wadau tujue lipi?Vyuo vya afya vya private na baadhi ya Vyuo wamewekeana ngumu na tcu kutokana na utaratibu wa tcu walitumia ndio maana vingi havionekani ila wako kwenye majadiliano baada ya kile kikao cha tarehe 15 kufanyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Dip hii
Doctor of medicine: Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least Five (5) passes including two credit passes in Chemistry and Biology and a D grade in Physics PLUS Diploma in Clinical Medicine with an average of “B+’’ or GPA of 3.5 OR BSc (lower second) majoring in Physics/Mathematics, Chemistry, Biology /Zoology.
hii 3.5 si waliitelemsha? au?
Watoto lazima wasome sana tena sanaimerudi tena
Hamna rafiki, sorry nilikosea.Siioni
Iko namba ngapi?
Isome vizuri mkuuKcmc hakipo,udsm hakuna md,bugando hakuna bmls,KIU hakipo,ajuco hakipo..Hawa wadogo zetu wakasome wapi course za afya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wametoa zote mbiliJaman naomba kuuliza hii guidebook inasema ni kwa form six and RPL only vipi kwa watu wa diploma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo najaribu ku guess,labda vyuo vinataka hata wanafunzi wenye div.2 wakati TCU ikitaka wenye div1 tu. Huo ni ubashiri wangu.Mkuu labda ufunguke zaidi-wanajadiliana nini, TCU wameweka utaratibu gani, na kikao cha tarehe 15 (mwezi gani) kilihusu nini?. Tuseme uko sawa-lakini bado TCU hawajatoa maelezo yakutosha (ile list imekamilika au vipi?). Lakini kuna vyuo na masomo ambayo si ya afya visivyo/yasiyo onekana. Wadau tujue lipi?
Mimi siioni MD UDSM. Naomba CODE yake. Ya UDOM naona imerudi mwaka huu. Si kuna lile agizo wandugu?