Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Wewe utakua umesomea usalama wa mawasiliano ya kichawi sio bure. Bora hata sisi self taught amateurs.Naomba nifunge mjadala huu kwa kusema kwamba nimesoma usalama wa mawasiliano ya angavu
"HAKUNA USALAMA KWENYE MIFUMO YA TECHNOLOGIA KWA ASILIMIAMIA 100"
wakati unawaza what's up haiwezi kudukuliwa, kumbe ni kitu chepesi sana sema haijawa public tu
" USIAMINI KUWA WHATSUP NA TELEGRAM KUWA INA USALAMA WA END TO END ENCRYPTION NEVER EVER"
KWENYE MAMBO YA USALAMA WA TECHNOLOGIA JIAMINI WEWE KAMA WEWE USIAMINI KUWA SIJUI KITU FLANI HAKIWEZI KUDUKULIWA NOO NOO MY DEAR
Nafunga mjadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu ambao wanauelewa mdogo kwny masuala ya IT ndo wanafikiri wako salama 100% wanapokuwa mitandaoni hasa wanapodanganywa na vimeseji vya security alert(your whatsapp is protected by end to end encryption.....blah blah). My friend, u get to kno that, once u ar connected u ar not safe!!Usiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Na hapa ndipo wanapowadanganya end users km ww na hivyo vi terminology vya ki security na unajihisi kuwa upo salama 100%. my friend, once you are connected you ar not safe!Unajua maana ya end-to-end encryption wewe. Wacha sifa za kijinga
Yap! Sio rahisi lkn haimaanishi haiwezekani kudukua!!Kuna baadhi ya mawasiliano siyo rahisi kuyadukua...
Ndiyo maana kuna nchi zinawaelekeza wananchi wao kipi cha kutumia na kipi hapana ili wawadukua vizuri...
Cc: mahondaw
Mzee baba just give up mjadala uendelee kwa amani!U look like very bright man.
But ujitu jeusi unakuchanyanya!.
Jikite kwenye maada siyo kudhambulia maoni yangu chalii.
huwezi kudukua nyambfUsiwe mweupe kichwani
WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Whatsapp ilikuwa ya kulipia 1$ kwa mwaka kabla google awaijainunua,sa hivi ndio wanapiga pesa kuliko wakati wowote kwa sababu ya information wanazokusanya na kuuza.
Exactly.Kwamba wanasoma watu "wanachat nini zaidi" then wanauza hiyo idea kua "PESA"?
Kwanini mnabishana na wa watu wanaojadiliana kingesengese.Full dharau na majigambo.Mngemkaushia mazee.You know nothing man, you need to come to terms with that fact.
Kilaza huyo achana nae akili kama za jamaa wa magongoUnajua maana ya end-to-end encryption wewe. Wacha sifa za kijinga
Hela yote ya nini, wakati plaizi ya kubinya mapumbu ipo?Wabongo kwa kujifanya wajuaji WhatsApp idukuliwe hao FBI wamemwomba na kumuahidi pesa aliekua mfanyakazi wa El Chapo Guzman muuza Sumu wa Mexico alieshtakiwa Brooklyn kuonesha meseji za WhatsApp baina yao maana walikua wapenzi kisiri siri kama wangeweza kudukua wasingetoa hela wangedukua tuu...
Mkuu wanamtumia kama shahidi wa hiyo kesi kuisaidia USA gharama za kumtoa Mexico na kuishi USA zipo juu yao na wapo wengi ni mwanamke na pia wenzetu wapo tofauti uendeshaji wa kesi zao na sisi kwa matukio makubwa..Hela yote ya nini, wakati plaizi ya kubinya mapumbu ipo?
Mm sijui kama ina wezekana au hapana.......embu nidukuehahaha et wanasema sababu ni ile E2EE !
Hawa vijana wanadhani wapo 18century!
Unaathari au madhara gani kwangu/kwa taifa?Mm sijui kama ina wezekana au hapana.......embu nidukue
You done it all mkuu!Km nliskiliza vizuri rais alitoa km changamoto ( kwamba ule mtambo uweze kudhibiti hata mawasialiano ya whatsapp nk)
Hakuna mfumo wa mawasiliano ambao upo 100% salama(fact)
Udukuzi unaweza fanyika katika maeno matatu..
1 kwenye chanzo(source)
2 kwenye kusafirishwa/mawimbi etc
3 kwa mtumiaji wa mwisho(destination).
Whatsapp kwa mfano encryption inafanyika kwenye source na inapofika destination ina kuwa decrypted...
Sasa inawezekana source au destination device ikadukuliwa na mawasiliano yakapatikana kama kawaida.
Sii lazima kuuingilia mtandao wa whatsapp wenyewe.
Mitandao pamoja na ulinzi wake.. imetengenezwa na binadam na hao hao wanajua jinsi ya kuingilia
As long as u have the appropriate tools and algorithm
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya uhalifu basi uoneNilisikia wakati wa uzinduzi kuwa sasa TCRA wanamitambo inayoweza kupata mawasiliano yote ya ndani na yale ya kimataifa!!
Naona kwa hili la Whatsapp hawataweza!
Bora wawe wazi kuwa kuna mawasiliano mengine hawataweza kuyadukua. View attachment 1000243
Nime achika au nimepita na mkeo mara ngapi?Unaathari au madhara gani kwangu/kwa taifa?
Au nikudukue nijue umeachika Mara ngapi?
Kiazi kweli!