TCRA Wakomesha wizi wa simu za mkononi

TCRA Wakomesha wizi wa simu za mkononi

Kikubwa ni kukamata wezi, maana wataanza mtindo wa kuuza spea. Kuna simu nyingine inapoibiwa mtu anakuwa anaihitaji na si kuifungia pekee.
 
Mie mtu akikiwiba simu yangu nashukuru tu naona zali lake.. Labda wafanye mpango niweze kuipata simu yangu ntakuwa naripot ila kwa kuiua tu namuacha tu nae akafurahie ulimwengu wa smartphone
 
Hawajatatua tatizo.
Bado sana hiyo inawezafanya kazi kwa siku mbili tu.
Hapo hakuna msaada wowote kwa mtu anayeibiwa.
 
Inafikiri ni kwanini watu wananunua simu za iPhone zenye app I'd
 
Sijaona faida hapo ilopatikana na na hao TCRA mm nilizani wataweza kufanya triangulation na hatimaye niweze kuipata simu yangu tena sasa hicho kinachofanyika ni kwamba tukose wote but kwa wezi ipo njia ya kuweza kuendelea kuitumia hiyo simu amini inawezekana
 
Back
Top Bottom