TCRA: Picha zako za utupu zikivuja toa taarifa Polisi, usione aibu

TCRA: Picha zako za utupu zikivuja toa taarifa Polisi, usione aibu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Meneja wa Huduma kwa Wateja na Watumiaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Kadaya Baluhye, amewataka waathirika wa unyanyasaji mitandaoni, ikiwemo uvujaji wa picha za utupu, kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili wapate msaada unaostahili.

Wito huo umetolewa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Auditorium – UDOM, jijini Dodoma, Februari 10, 2026.

 
Kwanini watu hupiga picha za utupu?

Kwanini unampiga mtu picha ya utupu bila ridhaa yake?

Kwanini unavujisha picha za mtu za utupu? Unapata faida gani?

Kabla ya kupata msaada waulizwe kwanza,lengo la kupiga hizo picha za utupu,lilikua ni nini hasa?

Kuzuwia picha za utupu kuvuja ni kutokupiga kabisa picha hizo.
 
Back
Top Bottom