King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,341
- 88,513
Umofia kwenu wana JF,
Ninavyojua mimi kutumia picha au sauti ya mtu mwingine bila ridhaa(rukhsa) yake ni makosa.
Redio free Africa(RFA) wanaweka audio clip ya Mh Lowassa ile ya Kwamba hatohama ccm na kisha ile ya ccm sio mama yangu kisha kuna kicheko halafu wanapiga wimbo wa komba wa ccm kama kuipromote ccm.
Swali langu kwa TCRA ni sahihi kwa kituo cha redio kufanya kitu kama hiko? Kwenye hiyo clip inayopigwa na RFA inatumika kumchafua mh ENL je akilalamika kuhusu ilo mtaisimamia haki yake?
Ninavyojua mimi kutumia picha au sauti ya mtu mwingine bila ridhaa(rukhsa) yake ni makosa.
Redio free Africa(RFA) wanaweka audio clip ya Mh Lowassa ile ya Kwamba hatohama ccm na kisha ile ya ccm sio mama yangu kisha kuna kicheko halafu wanapiga wimbo wa komba wa ccm kama kuipromote ccm.
Swali langu kwa TCRA ni sahihi kwa kituo cha redio kufanya kitu kama hiko? Kwenye hiyo clip inayopigwa na RFA inatumika kumchafua mh ENL je akilalamika kuhusu ilo mtaisimamia haki yake?
Last edited by a moderator: