TCRA mmeshindwa kazi?

TCRA mmeshindwa kazi?

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,341
Reaction score
88,513
Umofia kwenu wana JF,

Ninavyojua mimi kutumia picha au sauti ya mtu mwingine bila ridhaa(rukhsa) yake ni makosa.

Redio free Africa(RFA) wanaweka audio clip ya Mh Lowassa ile ya Kwamba hatohama ccm na kisha ile ya ccm sio mama yangu kisha kuna kicheko halafu wanapiga wimbo wa komba wa ccm kama kuipromote ccm.

Swali langu kwa TCRA ni sahihi kwa kituo cha redio kufanya kitu kama hiko? Kwenye hiyo clip inayopigwa na RFA inatumika kumchafua mh ENL je akilalamika kuhusu ilo mtaisimamia haki yake?
 
Last edited by a moderator:
TCRACCM!hawawezi fanya chochote!labda tu upinzani tuendeleze kampeni za amani,pia nashukuru mwitikio wa wananchi kwa lowasa ni mkubwa!
 
TCRA ni taasisi ya serikali kukandamiza upinzani.
Hawana cha kusema zaidi ya kusubiri maagizo toka juu.
 
Mbona ni simple case. UKAWA na wao waweke ile clip ya JK alomsifia Lowassa kwenye bunge au ile clip ya kamati kuu ya CCM waloimba tuna imaaaniii na LowaaSaaaa ! ! I oyaa oyaa oyaa .
 
Hahahahahahha nimeipenda
TUNAIMAAANI NA LOWASAAAA HOYAAA HOYAAA HOYAAaa
 
Hahahahahahha nimeipenda
TUNAIMAAANI NA LOWASAAAA HOYAAA HOYAAA HOYAAaa

Nakumbuka walimuimbia hiyo akapigwa na mshangao ikabidi aunganenao kupiga makofi. Na hata octoba itakuwa hivyohivyo watalazimika kumpigia makofi baada ya maamuzi ya wengi.

Lowasa hazuiliki.
 
Hii sheria Imepitishwa Kwa Malengo Mahususi...Kuna Kitu Wamekiegeshea Na Inaweza Kuwa Ipo Kimkakati zaidi.
 
Ha haa . Lowasa kweeeliii kweli kweeeliii kweli kweli kweli kabisaaa
LOWASA KWELIII KWELII KWELI KWELI KWELI KWELI LOWASAAAAAAA
Ukipigwa NGUMI YA SIKIO UKAAMBIWA UNASIKIAJE PIGA YA USO MUULIZE UNAONAJE
 
Mm sijatizama KWA miez MINGI SASA SITAKI KUPOTEZEWA MUDA NA VITU VYA KUPIKA
 
ukawa mnalialia kila kitu mmebakiza kuomba serikali ibadili jinsia zenu tu
 
not only tht, sheria inakataza vyombo vya media kuchezesha nyimbo za vyama vya siasa...TCRA mko wapiiiii?
 
Kwani jamani si kweli yote yametoka midomo mwake kwani uongo lazima mjue raisi wenu kigeugeu hata marekani wakitaka nchi atawapa tu
 
Back
Top Bottom