Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Juzi nikiwa katika viunga vya bunge na baadhi ya maafisa wa serikali, kuna jambo la ajabu sana nilisikia eti ule uvumi ulio kuwepo mwanzo kwamba raia hata ruhusiwa kusajili laini zaidi ya moja ni uhalisia.
Nikajiuliza lengo hasa ni nini?
Kama nina laini 100 na zote nimesajili kwa vidole tatizo lipo wapi?
Akili vs matope?
TCRA imesema lengo la kusajili kwa vidole na vitambulisho vya NIDA ni kukabiliana na ujambazi na uhalifu, sasa swala la laini moja linatoka wapi?
Nilimweleza mbunge mmoja, anatokea mkoa Kagera kwamba ajaribu kuishauri Serikali kuachana na issue ambazo hazina manufaa na zinaloleta usumbufu na maisha magumu kwa wananchi.
Mnataka wote tuwe na maisha ya gerezani?
Nikajiuliza lengo hasa ni nini?
Kama nina laini 100 na zote nimesajili kwa vidole tatizo lipo wapi?
Akili vs matope?
TCRA imesema lengo la kusajili kwa vidole na vitambulisho vya NIDA ni kukabiliana na ujambazi na uhalifu, sasa swala la laini moja linatoka wapi?
Nilimweleza mbunge mmoja, anatokea mkoa Kagera kwamba ajaribu kuishauri Serikali kuachana na issue ambazo hazina manufaa na zinaloleta usumbufu na maisha magumu kwa wananchi.
Mnataka wote tuwe na maisha ya gerezani?