Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 90
Chezea zimamoto wewe.!!!!.
Chezeya Reginald Mengi wa IPP Media weye!
Wamechelewa kujiandaa wa hiyo Digitali na hawataki kutumia STARTIMES au AGAPE au ZUKU nk. There could be a connection ya kuahirisha au kusogeza mbele au kusitasita!
mengi na dialo(IPP&Sahara media) wamiliki wa ITV na star wana kingamuzi chao nimeshau jina tu.
Ndio madhara ya serikali dhaifu jamani hawa jamaa wamepotosha umma,hivi hamna taratibu za kuwafungulia mashtaka?
watu washavuta posho ya kupiga campaign ya analog to digital nchi nzima hapo wanatafuta nyingine........
Ndugu ni mikoa nane ndio itakayo anza kuzimwa na ikifuatiwa na mikoa nane hapo baadae kuanzia mwezi 2,3,4 kisha iliyobaki watatangaza.hivyo kati ya 25 ni 8 tu ndio itakayoanza kutumia "dijitali"Taratibu sio kulalamika kila kitu, katika mikoa zaid ya 25 kuachwa mitatu ndio iwe kelele ivyo! Watabadili tu nina imani.
Jamaa wanakera kinoma!m nilitegemea tar 1 hapa Singida tutaanza kutumia ving'amuzi!halaf jana kupitia Tbc1 wanasema tusiwe na wasiwasi tuendelee ku2mia madish na antena!ilikua na maana gani kusema wanazima mitambo ya analojia Dec 31?au ndo yale ya Mrisho Mpoto..."maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzie..." kila ki2 kipo kiujanja ujanja 2!
sidhani kama kuna siku walitangaza kuwa wanaotumia madishi nao wanahusika na hii issue.kuuliza sio ujinga,its better kuuliza rather than kulaumu tu kwa kila jambo!!!
Chezeya Reginald Mengi wa IPP Media weye!
Wamechelewa kujiandaa wa hiyo Digitali na hawataki kutumia STARTIMES au AGAPE au ZUKU nk. There could be a connection ya kuahirisha au kusogeza mbele au kusitasita!
Inawezekana huifahamu Singida vizuri!hapa tunaipata Tbc kwa antena {chadema} huyo Pimbi wa Tcra amesema tuendelee na antena hawatozima mtambo wao wa analojia Dec 31,na kwa wale wenye madish wako salama...maana yake tar 1 mwezi wa kwanza Hapa Sgd hakutakuwa na digitali...sasa w povu la nn...
ni sawa kwa hii mikoa ambayo tayari imekuwa na elimu ya nini digitali wacha mitambo kwao izimwe, kwa mikoa ambayo bado basi elimu zaidi ipelekwa na ndiyo iyo mitambo izimwe! alafu tusiwe malimbukeni wa ku introduce new technology kwa nchi nzima kwanza, wabongo sisi bana na hata wangeamua kuzima mitambo karibia mikoa yote bado tungetoa lawama zisizo za msingi kabisa! ngarama za kuendesha nyumbani hiki king'amuzi kwa mwezi ni sawa na kodi ya chumba na bill ya umeme kwenye vijumba vyetu vya kupanga, so nyinyi watu wa ushuani msitokwe tokwe na povu tu, kushadadia. hamjui kama king'amuzi ni mke mwingine anaongezeka huyo!
Mleta mada, kwa Dar wanazima leo usiku, kaa tayari. Kumbuka kuwa Dar ndio yenye transmitters nyingi za analojia kuliko mikoa mingine. Mikoani kuna tv za wilaya tu katika analojia, stesheni nyingine zote zinapatikana kwa dijitali. Mkoa wa mwisho kuzimiwa transmitters za analojia ni Mbeya, watazima Aprili 31 2013. Soma tangazo katika magezti ya leo kwa details zaidiNimeshanganzwa sana na taarifa ya TCRA kupitia ITV leo kwamba eti mitambo ya analojia haitazimwa kwa baadhi ya mikoa ambayo eti hakuna mitambo ya dijital.wametaja mikoa kama kigoma,kagera,tabora nk kwamba wataendelea kuona matagazo ya analojia(chenga).
mimi najiuliza hivi mikwara yote ilikuwa ya nini? acheni kutumia fedha za walipa kodi namna hii jamani.