TCRA-Hatutazima mitambo ya Analojia des 31!

TCRA-Hatutazima mitambo ya Analojia des 31!

Dawa ni kununua dish tu mkuu kama mtu unakaa kwako maana kwa laki 2 tu unapata channel local zote na nyingine nyingi za kimataifa, hii ni changamoto kwa wananchi hasa wapangaji wa kawaida wa vyumba au chumba maana wamepewa mzigo mwingine kutokana na kui-introduce hii teknolojia na wapende wasipende lazima wanunue ving'amuzi maana ukinunua dish utaliweka wapi na wenye nyumba walivyo na mikwara. But kama una kwako au umepanga nyumba nzima unafunga dish na ukishafanya installation hakuna gharama nyingine tena labda kama kimbunga kije kilichukue

hawa TCRA hawachelewi kuanzisha kodi ya madish, we unafikiri wazima hawa jammaaaa! yani wako kibiashara skuizi hii serikali.
 
hawa TCRA hawachelewi kuanzisha kodi ya madish, we unafikiri wazima hawa jammaaaa! yani wako kibiashara skuizi hii serikali.

Nimecheka sana mkuu maana viongozi wetu ukiona wanapiga debe kitu ujue kuna maslahi, hapo hii issue ya ving'amuzi ukute kuna watu wana makampuni yao hapa ya ving'amuzi au 10%, siku zote madish kumbe ni digital ila walikuwa hawasemi baada ya watu kufuatilia fuatilia ndio mwishoni mwa December wakaanza kusema madish ni digital.

Tulishaoona issue ya power tiller iliwekewa msisitizo matokeo yake wajanja wa mjini wakapewa tenda ya kuleta lakini sasa hivi no more msisitizo wa power tiller na mbaya zaidi wananchi wameziacha maana cost ya fuel ni kubwa na wamerudi kwenye maksai.
 
Chezeya Reginald Mengi wa IPP Media weye!

Wamechelewa kujiandaa wa hiyo Digitali na hawataki kutumia STARTIMES au AGAPE au ZUKU nk. There could be a connection ya kuahirisha au kusogeza mbele au kusitasita!

Nchi hii kila kitu Siasa na deal. Hilo lilikuwa deal la wakubwa 'semina' wenye nabasi kumbukeni mbwembwe za sipidi gavana. na sasa ziliishia wapi? ndo hivyo itaishia hapo walipo zima
 
Back
Top Bottom