qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Nimeshanganzwa sana na taarifa ya TCRA kupitia ITV leo kwamba eti mitambo ya analojia haitazimwa kwa baadhi ya mikoa ambayo eti hakuna mitambo ya dijital.wametaja mikoa kama kigoma,kagera,tabora nk kwamba wataendelea kuona matagazo ya analojia(chenga).
mimi najiuliza hivi mikwara yote ilikuwa ya nini? acheni kutumia fedha za walipa kodi namna hii jamani.
mimi najiuliza hivi mikwara yote ilikuwa ya nini? acheni kutumia fedha za walipa kodi namna hii jamani.