TBT

TBT

TBT 3

Maisha ya mahusiano yakaendelea vizuri huku nikifanya kazi kama mwajiriwa na kufuata taratibu zote.
Boss nilianza kumpenda ile kweli kabisa na niliwaza namna gani ya kumdhibiti.

Niliwashirikisha mama zangu wadogo ambao walikuwa mashingingi kweli kweli mama zangu wadogo wakasema kesi ndogo......
Wakaniunganisha na bi chau,, huyu aliyekuwa muigizaji na mtangazaji sijui kama bado yupo!!!!
Bi chau alihitaji alipwe fedha na mafunzo aliniandika kwenye kitabu chake ni wiki moja.

Basi boss nilimshirikisha nilipewa id ya wiki moja na pesa akanipa nikaenda rasmi kwa bi chau na kukaa kwake wiki nzima.

Nilifunzwa misamba na mibinuo ya mbunye. kiufupi nilifundwa.
Pale nilikuta baadhi ya mashangingi ambao ni kama wasaidizi wake pia walikuwepo wasichana,, ma bi harusi watarajiwa na baadhi wake za watu.
Nilijifunza mikao mbali mbali ya kumkalia boloo young, unyonyaji, ushikaji massage za kiswahili mikatiko mbalimbali. kiufupi pale kama ni award basi nilipata masters

Darasa likaisha rasmi nikaingia ku practice!!!!!!bwana weee bi chau kama uko hai shikamoo wewe bibi.

Bwana alikuwa anapiga mayowe na kupumua kama ng'ombe anaechinjwa kutokana na yale mafunzo na mimi nikawa na enjoy zaidi,,, aibu sikuwa nazo tena.
Ndo hapo bwana alipoenda kutoa mahari na kunipatia nyumba.

Nakumbuka bi chau alitupa mabomu mwenyewe anasema ukiona bwana kalega lega huelewi mtupie kombora lako moja muache atulie.

Basi ikawa kazi ni moja,, wikiend ni kujifungia na boss kazi moja kufanya matusi!!!! wee akisafiri begi lake nipo nipo pembeni

Mnakijua kipindi cha nirvana???? mnamkumbuka ABBY yule mtangazaji msouth africa???
Alikuwa na darasa la table manners, cat walk na darasa la fashion.
Alikuwa anacharge kwa dollar.
Sababu ya kuingia hilo darasa mimi sikutaka kuwa local na nilihitaji kujua vitu kiasi kwamba boss asiniache popote pale zingatia protocol

Nikaanza rasmi hapo,, hapo nilikutana na wadada wengi sana wa mjini na darasa ilikuwa jioni kila siku kwenye hotel moja ipo posta mpaka sasa.
Nilijfunza kuongea, kula kutembea kiofisi kimahaba!!!!!! nilijifunza kutumia mikono na umma kijiko na kisu nadhani mnaelewa. hapa genz hamuwezi kuelewa ila wahenga wanaelewa
Hilo darasa lilinisaidia sana mpka muda huu tunavyoongea.

Nikawa niko kamili hapo nikawa transformed kutoka fresh from school na kuwa dada fulani hivii.
Nikapata passport maana ABBY alikuwa akituambia huwezi kuwa LADY harafu huna passport.

Basi kuanzia hapo boss hakuwa na kigezo chochote cha kuniacha popote pale atakapo kwenda.

Siku moja niko ofisini asubuhi!!
akaja mama mmoja alikuwa wa moto sana enzi hizo,. shangingi la ccm,, kumbe bwana boss alikuwa mtu wake
wapenzi kitambo sasa penzi limekata kufatilia ni mimi.

Bwana ee alikuja na wapambe wake weee!!!!! nilichambwa jamani nilizodolewa mimi!!!!!!!!!! na siku hiyo boss hakuwepo alikuwa na kikao.
Nilipiga kimya chezea mafunzo huku ya Abby kule bi chau.
Ofisini sikuwahi kuwa na bifu na mtu basi,,, taarifa zilifika chap kwa boss hapo mpaka simu nilinyanganywa dereva alifika kumtoa huyo mama wapi!!!!!! kumbuka huyo mama alikuwa na cheo huko juu kabisa sijui ni baraza kuu kule ccm pia kama naibu hivi sasa kulikuwa hakuna wa kumgusa.
Si unajua mwanamke akiwa na cheo.
Niliundiwa zengwe mpaka kwenye ajira.

Jioni yake boss alikuja kunichukua yeye mwenyewe,,, mie tena nilimpa mapenzi kmanina ya kwenda tena hiyo siku ndio alimuacha rasmi yule mama,, na simu tuliifata kwake usiku japo mimi sikuingia ndani.

Ugomvi haukuishia pale kumbe yule mama aliniendea kwa sangoma na kunipiga kipapai.
Nakumbuka nilikuwa nakunywa Chai asubuhi sijui nini kilitokea nilijikuta muhimbili nimezungukwa na familia.
Nashtuka hivi nataka kuinuka siwezi kumbe nilianguka kifafa na kupalalaiz upande mmoja.
Nilijitahidi kuinuka kwa msaada mwili ulikuwa mzito na niliona nyota nyota na kuanguka tena.
Basi kikao kilikaa hapo ikawa haina namna ni kwenda kinda ya ziwa.......
Boss alitoa gari mjomba alikataa kupewa dereva alitafuta mshikaji wake nikaenda. ndani ya mwezi mmoja nilipona na tulienda mpka kwa bibi mwingine huko bukoba kukazia utamaduni.
Nilikaa nje ya ofisi miezi miwili, nikajikoki nakarudi kazini.
Kazini awamu hii sikwenda kizembe tena niligangwa na kombora nilirudisha kwa bibi yule. mpaka Leo alishapotea kisiasa na alipotea kizembe bado sijasikia kama alikufa. Ni bibi mmoja hivi Kuna jengo moja mjini dar lina jina lake
.
Kuanzia sasa sitataja majina mazito humu.

NB; Moja ya picha zangu enzi hizo miaka hiyohiyo.

Kihere here chenu sitapost full picture tena nimekoma
Wow et kukazia utamaduni huhuhuhu
Dada ake we sio mwema ndio ukarudisha mapigo🙌🤣🤣
 
TBT 3

Maisha ya mahusiano yakaendelea vizuri huku nikifanya kazi kama mwajiriwa na kufuata taratibu zote.
Boss nilianza kumpenda ile kweli kabisa na niliwaza namna gani ya kumdhibiti.

Niliwashirikisha mama zangu wadogo ambao walikuwa mashingingi kweli kweli mama zangu wadogo wakasema kesi ndogo......
Wakaniunganisha na bi chau,, huyu aliyekuwa muigizaji na mtangazaji sijui kama bado yupo!!!!
Bi chau alihitaji alipwe fedha na mafunzo aliniandika kwenye kitabu chake ni wiki moja.

Basi boss nilimshirikisha nilipewa id ya wiki moja na pesa akanipa nikaenda rasmi kwa bi chau na kukaa kwake wiki nzima.

Nilifunzwa misamba na mibinuo ya mbunye. kiufupi nilifundwa.
Pale nilikuta baadhi ya mashangingi ambao ni kama wasaidizi wake pia walikuwepo wasichana,, ma bi harusi watarajiwa na baadhi wake za watu.
Nilijifunza mikao mbali mbali ya kumkalia boloo young, unyonyaji, ushikaji massage za kiswahili mikatiko mbalimbali. kiufupi pale kama ni award basi nilipata masters

Darasa likaisha rasmi nikaingia ku practice!!!!!!bwana weee bi chau kama uko hai shikamoo wewe bibi.

Bwana alikuwa anapiga mayowe na kupumua kama ng'ombe anaechinjwa kutokana na yale mafunzo na mimi nikawa na enjoy zaidi,,, aibu sikuwa nazo tena.
Ndo hapo bwana alipoenda kutoa mahari na kunipatia nyumba.

Nakumbuka bi chau alitupa mabomu mwenyewe anasema ukiona bwana kalega lega huelewi mtupie kombora lako moja muache atulie.

Basi ikawa kazi ni moja,, wikiend ni kujifungia na boss kazi moja kufanya matusi!!!! wee akisafiri begi lake nipo nipo pembeni

Mnakijua kipindi cha nirvana???? mnamkumbuka ABBY yule mtangazaji msouth africa???
Alikuwa na darasa la table manners, cat walk na darasa la fashion.
Alikuwa anacharge kwa dollar.
Sababu ya kuingia hilo darasa mimi sikutaka kuwa local na nilihitaji kujua vitu kiasi kwamba boss asiniache popote pale zingatia protocol

Nikaanza rasmi hapo,, hapo nilikutana na wadada wengi sana wa mjini na darasa ilikuwa jioni kila siku kwenye hotel moja ipo posta mpaka sasa.
Nilijfunza kuongea, kula kutembea kiofisi kimahaba!!!!!! nilijifunza kutumia mikono na umma kijiko na kisu nadhani mnaelewa. hapa genz hamuwezi kuelewa ila wahenga wanaelewa
Hilo darasa lilinisaidia sana mpka muda huu tunavyoongea.

Nikawa niko kamili hapo nikawa transformed kutoka fresh from school na kuwa dada fulani hivii.
Nikapata passport maana ABBY alikuwa akituambia huwezi kuwa LADY harafu huna passport.

Basi kuanzia hapo boss hakuwa na kigezo chochote cha kuniacha popote pale atakapo kwenda.

Siku moja niko ofisini asubuhi!!
akaja mama mmoja alikuwa wa moto sana enzi hizo,. shangingi la ccm,, kumbe bwana boss alikuwa mtu wake
wapenzi kitambo sasa penzi limekata kufatilia ni mimi.

Bwana ee alikuja na wapambe wake weee!!!!! nilichambwa jamani nilizodolewa mimi!!!!!!!!!! na siku hiyo boss hakuwepo alikuwa na kikao.
Nilipiga kimya chezea mafunzo huku ya Abby kule bi chau.
Ofisini sikuwahi kuwa na bifu na mtu basi,,, taarifa zilifika chap kwa boss hapo mpaka simu nilinyanganywa dereva alifika kumtoa huyo mama wapi!!!!!! kumbuka huyo mama alikuwa na cheo huko juu kabisa sijui ni baraza kuu kule ccm pia kama naibu hivi sasa kulikuwa hakuna wa kumgusa.
Si unajua mwanamke akiwa na cheo.
Niliundiwa zengwe mpaka kwenye ajira.

Jioni yake boss alikuja kunichukua yeye mwenyewe,,, mie tena nilimpa mapenzi kmanina ya kwenda tena hiyo siku ndio alimuacha rasmi yule mama,, na simu tuliifata kwake usiku japo mimi sikuingia ndani.

Ugomvi haukuishia pale kumbe yule mama aliniendea kwa sangoma na kunipiga kipapai.
Nakumbuka nilikuwa nakunywa Chai asubuhi sijui nini kilitokea nilijikuta muhimbili nimezungukwa na familia.
Nashtuka hivi nataka kuinuka siwezi kumbe nilianguka kifafa na kupalalaiz upande mmoja.
Nilijitahidi kuinuka kwa msaada mwili ulikuwa mzito na niliona nyota nyota na kuanguka tena.
Basi kikao kilikaa hapo ikawa haina namna ni kwenda kinda ya ziwa.......
Boss alitoa gari mjomba alikataa kupewa dereva alitafuta mshikaji wake nikaenda. ndani ya mwezi mmoja nilipona na tulienda mpka kwa bibi mwingine huko bukoba kukazia utamaduni.
Nilikaa nje ya ofisi miezi miwili, nikajikoki nakarudi kazini.
Kazini awamu hii sikwenda kizembe tena niligangwa na kombora nilirudisha kwa bibi yule. mpaka Leo alishapotea kisiasa na alipotea kizembe bado sijasikia kama alikufa. Ni bibi mmoja hivi Kuna jengo moja mjini dar lina jina lake
.
Kuanzia sasa sitataja majina mazito humu.

NB; Moja ya picha zangu enzi hizo miaka hiyohiyo.

Kihere here chenu sitapost full picture tena nimekoma
Huwezi amini dada la mujini nakujua🤣🤣...mara ya mwisho tulikutana rose garden, I'm humble you know🙏
 
TBT 3

Maisha ya mahusiano yakaendelea vizuri huku nikifanya kazi kama mwajiriwa na kufuata taratibu zote.
Boss nilianza kumpenda ile kweli kabisa na niliwaza namna gani ya kumdhibiti.

Niliwashirikisha mama zangu wadogo ambao walikuwa mashingingi kweli kweli mama zangu wadogo wakasema kesi ndogo......
Wakaniunganisha na bi chau,, huyu aliyekuwa muigizaji na mtangazaji sijui kama bado yupo!!!!
Bi chau alihitaji alipwe fedha na mafunzo aliniandika kwenye kitabu chake ni wiki moja.

Basi boss nilimshirikisha nilipewa id ya wiki moja na pesa akanipa nikaenda rasmi kwa bi chau na kukaa kwake wiki nzima.

Nilifunzwa misamba na mibinuo ya mbunye. kiufupi nilifundwa.
Pale nilikuta baadhi ya mashangingi ambao ni kama wasaidizi wake pia walikuwepo wasichana,, ma bi harusi watarajiwa na baadhi wake za watu.
Nilijifunza mikao mbali mbali ya kumkalia boloo young, unyonyaji, ushikaji massage za kiswahili mikatiko mbalimbali. kiufupi pale kama ni award basi nilipata masters

Darasa likaisha rasmi nikaingia ku practice!!!!!!bwana weee bi chau kama uko hai shikamoo wewe bibi.

Bwana alikuwa anapiga mayowe na kupumua kama ng'ombe anaechinjwa kutokana na yale mafunzo na mimi nikawa na enjoy zaidi,,, aibu sikuwa nazo tena.
Ndo hapo bwana alipoenda kutoa mahari na kunipatia nyumba.

Nakumbuka bi chau alitupa mabomu mwenyewe anasema ukiona bwana kalega lega huelewi mtupie kombora lako moja muache atulie.

Basi ikawa kazi ni moja,, wikiend ni kujifungia na boss kazi moja kufanya matusi!!!! wee akisafiri begi lake nipo nipo pembeni

Mnakijua kipindi cha nirvana???? mnamkumbuka ABBY yule mtangazaji msouth africa???
Alikuwa na darasa la table manners, cat walk na darasa la fashion.
Alikuwa anacharge kwa dollar.
Sababu ya kuingia hilo darasa mimi sikutaka kuwa local na nilihitaji kujua vitu kiasi kwamba boss asiniache popote pale zingatia protocol

Nikaanza rasmi hapo,, hapo nilikutana na wadada wengi sana wa mjini na darasa ilikuwa jioni kila siku kwenye hotel moja ipo posta mpaka sasa.
Nilijfunza kuongea, kula kutembea kiofisi kimahaba!!!!!! nilijifunza kutumia mikono na umma kijiko na kisu nadhani mnaelewa. hapa genz hamuwezi kuelewa ila wahenga wanaelewa
Hilo darasa lilinisaidia sana mpka muda huu tunavyoongea.

Nikawa niko kamili hapo nikawa transformed kutoka fresh from school na kuwa dada fulani hivii.
Nikapata passport maana ABBY alikuwa akituambia huwezi kuwa LADY harafu huna passport.

Basi kuanzia hapo boss hakuwa na kigezo chochote cha kuniacha popote pale atakapo kwenda.

Siku moja niko ofisini asubuhi!!
akaja mama mmoja alikuwa wa moto sana enzi hizo,. shangingi la ccm,, kumbe bwana boss alikuwa mtu wake
wapenzi kitambo sasa penzi limekata kufatilia ni mimi.

Bwana ee alikuja na wapambe wake weee!!!!! nilichambwa jamani nilizodolewa mimi!!!!!!!!!! na siku hiyo boss hakuwepo alikuwa na kikao.
Nilipiga kimya chezea mafunzo huku ya Abby kule bi chau.
Ofisini sikuwahi kuwa na bifu na mtu basi,,, taarifa zilifika chap kwa boss hapo mpaka simu nilinyanganywa dereva alifika kumtoa huyo mama wapi!!!!!! kumbuka huyo mama alikuwa na cheo huko juu kabisa sijui ni baraza kuu kule ccm pia kama naibu hivi sasa kulikuwa hakuna wa kumgusa.
Si unajua mwanamke akiwa na cheo.
Niliundiwa zengwe mpaka kwenye ajira.

Jioni yake boss alikuja kunichukua yeye mwenyewe,,, mie tena nilimpa mapenzi kmanina ya kwenda tena hiyo siku ndio alimuacha rasmi yule mama,, na simu tuliifata kwake usiku japo mimi sikuingia ndani.

Ugomvi haukuishia pale kumbe yule mama aliniendea kwa sangoma na kunipiga kipapai.
Nakumbuka nilikuwa nakunywa Chai asubuhi sijui nini kilitokea nilijikuta muhimbili nimezungukwa na familia.
Nashtuka hivi nataka kuinuka siwezi kumbe nilianguka kifafa na kupalalaiz upande mmoja.
Nilijitahidi kuinuka kwa msaada mwili ulikuwa mzito na niliona nyota nyota na kuanguka tena.
Basi kikao kilikaa hapo ikawa haina namna ni kwenda kinda ya ziwa.......
Boss alitoa gari mjomba alikataa kupewa dereva alitafuta mshikaji wake nikaenda. ndani ya mwezi mmoja nilipona na tulienda mpka kwa bibi mwingine huko bukoba kukazia utamaduni.
Nilikaa nje ya ofisi miezi miwili, nikajikoki nakarudi kazini.
Kazini awamu hii sikwenda kizembe tena niligangwa na kombora nilirudisha kwa bibi yule. mpaka Leo alishapotea kisiasa na alipotea kizembe bado sijasikia kama alikufa. Ni bibi mmoja hivi Kuna jengo moja mjini dar lina jina lake
.
Kuanzia sasa sitataja majina mazito humu.

NB; Moja ya picha zangu enzi hizo miaka hiyohiyo.

Kihere here chenu sitapost full picture tena nimekoma
mash allha😍,, sema dada etu unajicho zuri mnooo😊
alf naomba niwe mwanafunzi wako unifundishe yale ulofunzwa na bi chau nataka kumkomesha mtu kwa mahabati🤭,,
 
mash allha😍,, sema dada etu unajicho zuri mnooo😊
alf naomba niwe mwanafunzi wako unifundishe yale ulofunzwa na bi chau nataka kumkomesha mtu kwa mahabati🤭,,

Kiukweli jicho lipo.....
Mafunzo kama kweli unahitaji siku hizi makungwi wengi mnooo mpka TikTok wapo.
Ingia chimbo mtoto wa mama mkwe anene kwa lugha
 
Back
Top Bottom