Aizat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2025
- 207
- 553
Anazingua asee...alhamisi imagineš¤š¤Ila alhamis mbali! Usinifanyie hivyoo
Anazingua asee...alhamisi imagineš¤š¤Ila alhamis mbali! Usinifanyie hivyoo
Sawa my....but alhamisi mbali asee, hebu fikiria upyaasiwezi kuweka kila kitu halafu hiyo haraka muda sina
kidogo kidogo tutafika
Boss alitaka kumiliki mbunye na sio mke. tulia huko mbele utaona.
ā¤ļøā¤ļøMarhabaa mwanangu.
Mbona mim sion picha
Kusema ataweka picha ilikuwa ni kuvutia tuu ndugu watazamaji, kuandaa jukwaa. Hapa ni stori tuu.
picha nimeweka na ni yangu na co mate's wangu. umeona kilichofanyika???
Nilipanga niweke mpaka ya muda huu fikiria kuhusu privacy hata kidogo
Dah! š¢Watoto wameshaanza Yao,, sasa twendeni hivyo hivyo picha mtachora wenyewe.
Mbona hujanisanua mapema nione uumbaji wa mshangazi mwanangu nimelia sana.Mpaji Mungu upite na huku
Basi amefuta, muda nakuita ilikuwepo mbona? Sema kuna mtu amejifanya mjuaji ndiyo maana ameifuta polee šMbona hujanisanua mapema nione uumbaji wa mshangazi mwanangu nimelia sana.
Siku hizi kushika simu kama anasa vile mda mwingi nipo tightBasi amefuta, muda nakuita ilikuwepo mbona? Sema kuna mtu amejifanya mjuaji ndiyo maana ameifuta polee š
Baaasiii š tumeanza kuelewana sasaSiku hizi kushika simu kama anasa vile mda mwingi nipo tight