Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Serikali imewataka wananchi kuwa makini kutokana na uwepo wa condom fake za kiume zilizoingizwa KINYEMELA NCHINI TANZANIA tokea INDIA, condom hizo zinaitwa MELTME
SOSI: EATV
SOSI: EATV
...condom hizo zinaitwa MELTME
Yeah, wakware lazima wayeyuke tu, MELT ME PLEASE!
sasa wanaposema zimeingia kinyemela sijui wanamaanisha nini?kazi hii ni ya TBS AU TFDA?
Katika taarifa ya habari ya Channel ten ya saa moja usiku leo, tarehe 21 Dec, kuna taarifa kuwa Condoms aina ya MELT ME toka INDIA ni feki na hazifai kutumiwa. Sote tunajua kuwa condom ndiyo kinga pekee iliyobaki baada ya A (kuacha ngono) na B (kuwa muaminifu) kukosa nguvu. Sasa kama condom zenyewe zinaingia feki, ni sawa na kufanya ngono zembe. Kupata HIV na magonjwa mengine na ngono ni nje nje. Ninachojiuliza hapa ni kuwa Tanzania tuna mkosi gani, hivi mjuzi zimeripotiwa ARV feki, leo Condo feki; Tutafika pale alipopasema JK - Tanzania bila Ukimwi inawezekana?
Hahahaa!!!!!! Love it!Ninadhani rais wetu ni feki vile vile.