Nenda TPDC huko ndiko utapata fulsa ya kujiendeleza kirahisi, ukitaka usote nenda TBS.Jamaani naombeni ushauri: Nimepata kazi ktk taasisi zote mbili ambapo nitatakiwa kuriporti siku moja sehemu zote mbili na nitapewa mikataba na barua za kazi siku ya kuriporti... ni wapi pazuri jamani..
Kote hakuna ishu kaa nyumbani.
Kote hakuna ishu kaa nyumbani.