GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,631
- 108,992
Sasa hivi imekuwa ni Kawaida kwa GENTAMYCINE kila nikibahatika ama kunywa Soda ya Coca Cola au Pepsi Cola nikiifungua tu Kukaribishwa Kiukarimu na Chupa yenye Kutu ya Kutukuka Kiziboni (sehemu ya Kunywea)
TBS mko wapi? Hii ni halali Kwetu Walaji? Kwanini hamtusaidii Wanyonge (Masikini) akina GENTAMYCINE ili tusiendelee kunya SODA KUTU za Pepsi na Coca ambazo ni Hatari kwa Afya zetu?
TBS hivi Kulisimamia hili kama Mamlaka ya Udhibiti na Ubora wa bidhaa ni mpaka Rais Samia awakumbusheni? Ni kwanini mliopewa Dhamana (hasa za Usimamizi) wa bidhaa au masuala hamjitumi, mnapuuza na mnakuwa kama Majuha (Fools) fulani?
Hovyo!
TBS mko wapi? Hii ni halali Kwetu Walaji? Kwanini hamtusaidii Wanyonge (Masikini) akina GENTAMYCINE ili tusiendelee kunya SODA KUTU za Pepsi na Coca ambazo ni Hatari kwa Afya zetu?
TBS hivi Kulisimamia hili kama Mamlaka ya Udhibiti na Ubora wa bidhaa ni mpaka Rais Samia awakumbusheni? Ni kwanini mliopewa Dhamana (hasa za Usimamizi) wa bidhaa au masuala hamjitumi, mnapuuza na mnakuwa kama Majuha (Fools) fulani?
Hovyo!