TBS mko wapi pombe feki zimetapakaa mtaani?

TBS mko wapi pombe feki zimetapakaa mtaani?

Pombe feki mtaani imekuwa jambo la kawaida sana siku hizi

Yaani unaweza kupata chupa ya Hennessy na box yake Kwa elfu 40, hii inakuwa na ladha Ile Ile ni ngumu Kwa mtu wa kawaida kuzitofautisha

Jack Daniels fake ni nyingi mno na zinauzwa elf 30 wakati kawaida hii pombe inauzwa 150k
Mtanganyika akaikuta ipo cheap anachukua tu

Kwasasa usijidanganye kuingia bar na kuagiza pombe za nje na za gharama, maana hapa Nina uhakika 💯 utapewa copy yake, na utaifurahia ila baada ya miaka kadhaa figo zinaanza kufeli

Empty za hizi pombe Huwa ziatafutwa na zinauzwa ili kwenda kujazwa pombe feki, huwezi kuona Kwa vyovyote empty bottle au box ya pombe za gharama mtaani, ajiulize Huwa zinaenda wapi zikishatumika

Ni heri ukiagiza unywe local beer za bei ndogo, ambazo hizi ni ngumu Kwa wahuni kuzitoa copy

Magonjwa ya figo yamekuwa mengi Toka Kwa wale wenye uweZo maana huwa wanakunywa pombe za gharama copy

Ni bar chache mno watauza hizo Hennessy na jack Daniels originalView attachment 3390468View attachment 3390470
Kwamba Hanson's Choice fake zipo? Basi nimekwisha
 
Hao TBS wamelala usingizi wa pono

Kuna Ngano fake hii IPO mtaani inatengeneza mandazi tu

Mwezi wa 2 nilikunywa maji ya masafi ya MO yalikuwa fake Ila nilipata Typhoid .

Mpaka sasa nimebadilisha maduka nikitaka Kununua Maji naenda sehemu ya uhakika.


Michezo hii IPO dar Sana hao TBS waambie waache kulala wanaua watu
 
Sikuhizi nikiwa localbar bora nipige bia tu, nikienda sehemu ya kueleweka ama nikiagiza mwenyewe (piki) ndio napiga Vitu vizito + Wine.
Hennessy Mwitu yetu (Hanson's Choice) wameisha iharibu, ukija kwenye mua (Konyagi) huko ndio balaa zaidi kila baa ina ladha yake.
ila Konyagi original ambayo haicjachakachuliwa ina ka flavour flani murua sana.

TBS na TRA wanapiga dili na maharamia wa biashara hiyo, wala usitarajie kuona mkono wa Serikali eneo hilo hivi karibuni
 
Sikuhizi nikiwa localbar bora nipige bia tu, nikienda sehemu ya kueleweka ama nikiagiza mwenyewe (piki) ndio napiga Vitu vizito + Wine.
Hennessy Mwitu yetu (Hanson's Choice) wameisha iharibu, ukija kwenye mua (Konyagi) huko ndio balaa zaidi kila baa ina ladha yake.
ila Konyagi original ambayo haicjachakachuliwa ina ka flavour flani murua sana.

TBS na TRA wanapiga dili na maharamia wa biashara hiyo, wala usitarajie kuona mkono wa Serikali eneo hilo hivi karibuni
Hakika Mkuu
 
Watanzania matatizo mnayatatua kwa njia za ajabu kabisa. Badala ya vyombo husika kutatua tatizo, navyo vinatoa eti ''mwongozo'' kwa walaji. Wanalipwa fedha za nini? Anyways... kumbe ni CCM ndiyo inaongoza.
Bravo brother. Kwa ku-prove hilo, et PS ndio kiongozi wao, kuna shida mahala
 
Tunawaambia njooni kwa mangi kioski tupige double kick, smart gin, cucker, nyagi, vant na valeuer za kupima hamtaki.
Mnajikuta wa kishua mnakula jack daniels, hennesy, whisky za bei mbaya, drostyoff, sijui masavana ili tu muonekane mna kipato.

Acha muumwe hizo figo.

Cc kamanda min -me
 
Tunawaambia njooni kwa mangi kioski tupige double kick, smart gin, cucker, nyagi, vant na valeuer za kupima hamtaki.
Mnajikuta wa kishua mnakula jack daniels, hennesy, whisky za bei mbaya, drostyoff, sijui masavana ili tu muonekane mna kipato.

Acha muumwe hizo figo.

Cc kamanda min -me
Hahahah hizo za bei ya chini zinaua figo hatari bwashee
 
Back
Top Bottom