Ila Kwa izi Imported Liquor naona kama TRA ndio yupo responsible na Kusimamia Compliance kwasababu Kuna Kampuni inaitwa Sicpa Tanzania ndio wanahusika na Kubandika Label for authentication na wanashirikiana naTRA, TRA yeye ameenda mbali mpaka kutengeza application ya Hakiki stempu Kujilizisha kama hio Pombe ni Halisi
ila still hao wahuni Kwa network wanapata mpaka sticker izo za Sicpa na Kuzibandikaa kwenye Pombe mfano Konyagi ndogo ni vulnable sana Kutumia
Mimi saivi naona Pombe salama ni Local beer tu huko ndio hakuna Majangili kwasababu black market ya Local beer hailipi kabisa ivo beer nyingi local ni genuine.
Jamaa wamepiga kambi kwenye hard liquor izi Imported na Local pia kama Konyagi, Kvant, Hanschoice na smart Gen ambazo sales Volume zao zipo Juu, Ila pia ni jukuma la wenye brand Kulinda Brand zao na Kufanya Ukaguzi ili Kuepusha bidhaa fake, Smart Gin aliwahi kuwa na hio operation
Shida za Hawa watengeneza Pombe hawaweki budget kabisa ya Kupambana na maharamia kwasababu kutengeza trademark ni ngali mno Sasa Leo unaacha wachache waiporomoshe mfano kama Maji ya Kilimanjaro