TBS mko wapi pombe feki zimetapakaa mtaani?

TBS mko wapi pombe feki zimetapakaa mtaani?

Kuna ulazima gani wa kunywa kama unajua kabisa ni ugonjwa unaosubiri kulipuka?

Kama zipo basi kuna watu wanaoruhusu ziingie sokoni, na wanakula pamoja

Nchi masikini hata kuuwawa wote kwa ajili ya tamaa za wachache ni jambo dogo sana

Kama vipi na mna akili lazima mje na ubunifu

Yaani chupa ikisha tu inabidilika rangi na haitumiki tena kwa kuijaza tena labda iwe recycled

Au endeleeni kuwachangia wanaowauwa
 
Ushawahi kusikia ukoo wa Panya?, basi ndo huu wa kwetu, Kila mmoja atajijua mwenyewe, ukienda kuiba ukikamatwa utajiju.
 
Acha yawaue. Vitabu vyote vya dini vimekataza ninyi mnaendelea kuyabugia kama kwamba tumboni ni jalalani. Endeleeni kukomoa chupa hakuna aliyekulazimisha kuyanywa
 
Acha yawaue. Vitabu vyote vya dini vimekataza ninyi mnaendelea kuyabugia kama kwamba tumboni ni jalalani. Endeleeni kukomoa chupa hakuna aliyekulazimisha kuyanywa
Unaogopa pombe unapanda bodaboda, au unamkula demu wa Tabata bila condom
 
Mpaka hii kitu Jägermeister watu wamepiga kopi. Wanaweka stika original za TBS hatari tupu bora ninywe safari lager au balimi.
 
Back
Top Bottom