juakal
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 587
- 125
Ukishafanya oral ukipasi ndio hua wanapiga simu mara nyingi kuthibitisha ulivoviandika kwny cv ,wengi hua hawapigi hata hizo simu lakini kazi unapata
Pia wengine wanapiga b4 lakini mara chache sana
Asante sana ndugu