Siamini hawa watu walioitwa TBS ndio walioapply...shortlist wametumia vigezo gani kupata ? Maana kama gpa hawajasema..naombeni msaada wa kufafanua haya Mambo..ili wakitukata post nyengine zilizobaki nisishangae..hr nisaidieni..mbona mara ya kwanza hawajafanya hivyo ?