TBS Kwa nn shortlist ? Ninawasiwasi

TBS Kwa nn shortlist ? Ninawasiwasi

babzube15

Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
19
Reaction score
4
Siamini hawa watu walioitwa TBS ndio walioapply...shortlist wametumia vigezo gani kupata ? Maana kama gpa hawajasema..naombeni msaada wa kufafanua haya Mambo..ili wakitukata post nyengine zilizobaki nisishangae..hr nisaidieni..mbona mara ya kwanza hawajafanya hivyo ?
 
Siamini hawa watu walioitwa TBS ndio walioapply...shortlist wametumia vigezo gani kupata ? Maana kama gpa hawajasema..naombeni msaada wa kufafanua haya Mambo..ili wakitukata post nyengine zilizobaki nisishangae..hr nisaidieni..mbona mara ya kwanza hawajafanya hivyo ?

G.P.A ? kwenye cheti chako kuna G.P.A ndo madhara ya Kupiga chabo hayo kuna ndugu yangu ana pass lakini alivyopiga interview wapiga chabo kama nyinyi aliwatoa nje ya reli akalamba ajira very easy. Najua utakua na ka upper second kanakufanya uhoji.
 
Siamini hawa watu walioitwa TBS ndio walioapply...shortlist wametumia vigezo gani kupata ? Maana kama gpa hawajasema..naombeni msaada wa kufafanua haya Mambo..ili wakitukata post nyengine zilizobaki nisishangae..hr nisaidieni..mbona mara ya kwanza hawajafanya hivyo ?

Kama CV yako haijashiba or not well-typed and organized kwa nn wakuite interview.? kama barua yako ya maombi haimshawishi mwajiri kwa nn wakuite interview.? Mwisho, kama barua yako haijawafikia kabisa au haijawafikia kwa wakati watakuitaje interview.?
 
G.P.A ? kwenye cheti chako kuna G.P.A ndo madhara ya Kupiga chabo hayo kuna ndugu yangu ana pass lakini alivyopiga interview wapiga chabo kama nyinyi aliwatoa nje ya reli akalamba ajira very easy. Najua utakua na ka upper second kanakufanya uhoji.
Haujaelewa maelezo
 
Kama CV yako haijashiba or not well-typed and organized kwa nn wakuite interview.? kama barua yako ya maombi haimshawishi mwajiri kwa nn wakuite interview.? Mwisho, kama barua yako haijawafikia kabisa au haijawafikia kwa wakati watakuitaje interview.?
At least unapoint ya kunote
 
kiukweli hawako fear kabiasa haiwezekani kwenye nafasi 5 waite watu 11 wangetoa nafasi kwa watu wote waliokizi vigezo wafanye written kisha washortlist wa oral .Tumaini lilibaki kwa watoto wa masikini ni utumishi tu.
 
kiukweli hawako fear kabiasa haiwezekani kwenye nafasi 5 waite watu 11 wangetoa nafasi kwa watu wote waliokizi vigezo wafanye written kisha washortlist wa oral .Tumaini lilibaki kwa watoto wa masikini ni utumishi tu.
Mfano metrologist physics watu 7 kwa 16 huu ni usanii kabisa at least watu waitwe 21 kwa ratio ya 1:3....na waliosoma Bsc in physics wapo wengi waliomaliza udom lakini wamekatwa bila hata kupimwa uwezo wao..ndio maana nauliza vigezo gani wametumia hawa TBS ?
 
Mfano metrologist physics watu 7 kwa 16 huu ni usanii kabisa at least watu waitwe 21 kwa ratio ya 1:3....na waliosoma Bsc in physics wapo wengi waliomaliza udom lakini wamekatwa bila hata kupimwa uwezo wao..ndio maana nauliza vigezo gani wametumia hawa TBS ?

mkuu achana na tbs aiseee,,,unakumbuka mwaka jana waliita watu kwa written pale udsm,lakn wakaja kushortlist watu wachache kwa oral

mi naona wamefanya fair coz wakiita wengi watawapotezea mda.

pili taasisi za serikal mpk uwe na "network" vinginevyo hupati.......ni km nssf bila kua "dini flani" hupati NG'OOOOOO
 
Wakuu nipeni ujuzi wenu kwa hili.
Hivi wale referees wanaowekwa kwenye CV huwa wanakuwa contacted wakati wa kuchagua watu wa kuitwa kwa ajili ya interview??
 
Mi naona itakua hawa wametumia kigezo cha experience kuna post nyingi walioapply nawafaham na wameiitwa karibu wote sema wanauzoefu wa hizo kazi na wanafanya kazi bado kwa post hizo hizo
 
kiukweli hawako fear kabiasa haiwezekani kwenye nafasi 5 waite watu 11 wangetoa nafasi kwa watu wote waliokizi vigezo wafanye written kisha washortlist wa oral .Tumaini lilibaki kwa watoto wa masikini ni utumishi tu.

Wapo fair sasa waite watu wengi wanini wameita wachache wanaoona wanafaa ,wakiita wengi mnalalamika wachache pia mnalalamika duu
 
Wapo fair sasa waite watu wengi wanini wameita wachache wanaoona wanafaa ,wakiita wengi mnalalamika wachache pia mnalalamika duu

simaanishi waite watu wengi kama nssf ila kuna ratio inayokubalika hata na serikali 1:3 sasa hawa wanajiamulia tu.
 
Wakuu nipeni ujuzi wenu kwa hili.
Hivi wale referees wanaowekwa kwenye CV huwa wanakuwa contacted wakati wa kuchagua watu wa kuitwa kwa ajili ya interview??

Ukishafanya oral ukipasi ndio hua wanapiga simu mara nyingi kuthibitisha ulivoviandika kwny cv ,wengi hua hawapigi hata hizo simu lakini kazi unapata
Pia wengine wanapiga b4 lakini mara chache sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom