Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,787
Tulishasema Tanzania hakina Demokrasia na kujishau tu hamkutuelewa. Sasa mnaona CCM inakotupeleka?
Serikali imechukuwa uamuzi sahihi kabisa, ilikuwa inafikia wakati unakwenda ofisini kupata huduma wafanyakazi wamekodoa kwenye luninga wanaangalia Bunge, Nasema SAFI SANA NAPE!