Wanatimiza maagizo walizo pewa. Unamkumbuka tido mhando, umahiri wake ulimwondo tbc1.
Mlipiga kura mkawachagua na kuwarudisha madarakani, muwe tayari kuishi na matokeo ya uchaguzi huo.
Acha masikhara mvumbuzi,yaani unataka wan JF waamini kuwa hujui yaliyompata Tido, wanahofia vibarua na ubaya ni kuwa wao hawapo competent kama Tido alivyokuwa