ZBC, TBC1 na taarifa za habari mida ya swala

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,895
22,659
Wakuu nina juma mona hapa Zanzibar

Leo nikiwa kwenye boti natoka Unguja nakuja Pemba kulikuwa na mjadala kwenye chombo kimoja cha habari kuhusu kwanini serikali ya Zanzibar ambayo inawafanyakazi wa umma karibu wote ni waislam watupu ukiachilia wizara za muungano imekubali vipi television yake kutangaza habari muda wa swala yaani saa 7 mchana na saa.

Wameenda mbali na kusema kuwa kuwa kuwa wao wapo kwenye muungano pia waitake serikali ya muungano kulipa uzito jambo hili hata kwa TBC1 pia kwa kuwa wao wanabaki kuungalia habari za mida wanayotakiwa kufanya swala .

Mchangiaji anauluza kwanini taarifa isiwe saa mbili, nane na tatu usiku ili kuepuka mfumo kristo kuendesha nchi hadi misikiti na wakati Marais wote ni waislam na hawajali na kuona Kuna tatizo.

Msemaji anasema wanawataka wabunge wao wapeleke hoja bungeni kupinga hii tabia ya kuwafanya waislam waache kuswali kisa taarifa za habari zinazoweza kupangiwa muda na wao waswali bila tatizo


USSR
 
Kama wakristo walivyokuwa wanalalamika uchaguzi mkuu kufanyika jumapili ya October Kila baada miaka mitano. Walikuwa wanadai wanapata wakati mgumu sana kushiriki zoezi la kupiga kura kwasababu jumapili ni siku ya kufanya ibada kwao. So kwa maoni yangu hili jambo ni la kutafakari zaidi na sio mihemko.
 
Tusipangiane. Hizi Imani haba zenu tupa kule. Yaani uislam wako ndiyo unataka ubadilishe mtindo wa maisha wa watu wote? Get lost ...!
 
Hivi kwanini mtu asiamini dini yake kwa mapenzi yake mwenyewe na sio kulazimisha watu wote wafuate mfumo fulani !

Hao watu watakuwa na uhakika gani hiyo saa nane hakuna mkristo anayesali au Mpagani anayefanya tambiko !

Ujina tu .
 
Serikali haina dini.
Taarifa ya habari sio lazima ungoje watu watoke misikitini/kanisani ndio uhabarishe.
 
Hivi kwanini mtu asiamini dini yake kwa mapenzi yake mwenyewe na sio kulazimisha watu wote wafuate mfumo fulani !

Hao watu watakuwa na uhakika gani hiyo saa nane hakuna mkristo anayesali au Mpagani anayefanya tambiko !

Ujina tu .
Uhuru usio na mipaka nimestaajabu kusikia nchi zote mbili zinatawaliwa na waislam, kwaiyo wanataka vyombo vya umma vikizi mahitaji ya ratiba ya dini yao.
 
Soon watasema Bia na kitimoto visiuzwe mida ya swala.

As if kila mtu ni lazima aswali kama wanavyotaka wao
 
Wakuu nina juma mona hapa Zanzibar

Leo nikiwa kwenye boti natoka Unguja nakuja Pemba kulikuwa na mjadala kwenye chombo kimoja cha habari kuhusu kwanini serikali ya Zanzibar ambayo inawafanyakazi wa umma karibu wote ni waislam watupu ukiachilia wizara za muungano imekubali vipi television yake kutangaza habari muda wa swala yaani saa 7 mchana na saa.

Wameenda mbali na kusema kuwa kuwa kuwa wao wapo kwenye muungano pia waitake serikali ya muungano kulipa uzito jambo hili hata kwa TBC1 pia kwa kuwa wao wanabaki kuungalia habari za mida wanayotakiwa kufanya swala .

Mchangiaji anauluza kwanini taarifa isiwe saa mbili, nane na tatu usiku ili kuepuka mfumo kristo kuendesha nchi hadi misikiti na wakati Marais wote ni waislam na hawajali na kuona Kuna tatizo.

Msemaji anasema wanawataka wabunge wao wapeleke hoja bungeni kupinga hii tabia ya kuwafanya waislam waache kuswali kisa taarifa za habari zinazoweza kupangiwa muda na wao waswali bila tatizo


USSR
Tena dini zenyewe tuliletewa tu.
 
Wakuu nina juma mona hapa Zanzibar

Leo nikiwa kwenye boti natoka Unguja nakuja Pemba kulikuwa na mjadala kwenye chombo kimoja cha habari kuhusu kwanini serikali ya Zanzibar ambayo inawafanyakazi wa umma karibu wote ni waislam watupu ukiachilia wizara za muungano imekubali vipi television yake kutangaza habari muda wa swala yaani saa 7 mchana na saa.

Wameenda mbali na kusema kuwa kuwa kuwa wao wapo kwenye muungano pia waitake serikali ya muungano kulipa uzito jambo hili hata kwa TBC1 pia kwa kuwa wao wanabaki kuungalia habari za mida wanayotakiwa kufanya swala .

Mchangiaji anauluza kwanini taarifa isiwe saa mbili, nane na tatu usiku ili kuepuka mfumo kristo kuendesha nchi hadi misikiti na wakati Marais wote ni waislam na hawajali na kuona Kuna tatizo.

Msemaji anasema wanawataka wabunge wao wapeleke hoja bungeni kupinga hii tabia ya kuwafanya waislam waache kuswali kisa taarifa za habari zinazoweza kupangiwa muda na wao waswali bila tatizo


USSR
Udhaifu wenu huu wa Kifikra ndiyo kila Siku unawafanya muonekane Mazuxu mbele ya Wakridto na hata Kudharaulika nao. Badilikeni tafadhali hamjachelewa.
 
Mambo ya udini yaishie Zanzibar huko huko. Tanganyika tuko huru, Too old for that. Ishu ya mfungo tu raia wa zanzibar wenye imani tofauti walipelekeshwa hadi basi.
 
Waislamu tunawavumilia kwa mengi Ila hambebeki.
Mfano, siku hizi kila MTU ana simu, au kila Kaya Ina simu, kwanini wewe muislamu unaejielewa usitege alarm muda wa kuswali alfajiri unapofika ili wale wanaoazini wafanye kazi nyingine badala ya kuamsha na sisi tusio husika?
 
Low minded people..wavaa kobazi bhana..inferiority complex inawasumbua sana.

Dini+ujinga=janga la kitaifa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom