TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

Hotuba ya Dr Slaa haina tija sana kwa wananchi kwa kupindi hiki cha uchaguzi .

Bora vyombo hivi vya habari vikubwa vingejikita kuweka hotuba za Marais wagombea wote tusikilize Sera zao hata kurudia mara 3 kwa siku,

kuliko kupoteza muda kwa hotuba ya Dr Slaa ambayo haijashiba kwa maudhuwi, wala tija na imejaa uchochezi na kutugawa watanzania wakati tuko wamoja
 
hivi TCRA MKO WAPI KWA HUU UPOTOSHAJI WA SLAA KURUDIWA RUDIWA NA HV VTUO VYA MATANGAZO¿¿?????

tendeni haki
 
Hotuba ya Dr Slaa haina tija sana kwa wananchi kwa kupindi hiki cha uchaguzi .

Bora vyombo hivi vya habari vikubwa vingejikita kuweka hotuba za Marais wagombea wote tusikilize Sera zao hata kurudia mara 3 kwa siku,

kuliko kupoteza muda kwa hotuba ya Dr Slaa ambayo haijashiba kwa maudhuwi, wala tija na imejaa uchochezi na kutugawa watanzania wakati tuko wamoja

Mahaba niue. Hotuba ya Dr Slaa imeibua mambo mazito na ya msingi kwa mustakabali wa CHADEMA na taifa kwa ujumla.

Unasema waweke hotuba za wagombea, hotuba za dakika 5 za Lowasa dhidi ya hotuba za masaa mawili za Dr Magufuli?
 
Tena kama Star TV hata usomaji wao wa Magazeti kwenye kipindi chao cha asubuhi Tuongee Magazeti kimebadilika kabisa.
Habari za CCM zinapewa kipao mbele sana na kama utasikia habari ya UKAWA basi ni ile ya Kuiua. Au kwasababu Mmiriki wa Chombo hiki yomo kwenye kamati ya Kampeni za Magufuli?
 
Kimeshaeleweka tunataka kujua Sera sasa ya vyama vyote
 
Upuuzi tu,
Baada ya kutuwekea mambo ya maana yanagusa wananchi wanatuonuesha upuuzi!!
 
Nyie Mbona Ktk Kampeni Zenu Mnaweka Sauti Ya Nyerere Muda Mwingi Mbna Watu Hawasemi Wametulia Tu,leo Kurudia Hotuba Ya Slaa Ni Nongwa?Siku Zote Jiwe Likirushwa Gizani Ukisikia Yallaaah Ujue Limempata Huyo.....
 
uLITAKA WARUDIE HOTUBA YA BABA YAKO?
 
Eee Mungu wa Mbinguni TUNAKUOMBA utuepushe na haya yanayotokea sasa....

Eee mungu kweli hawa watu walikuwa na nia njema nasi kweli?????????????

Ni kwanini ee baba walituthibitishia kuwa wanatujali lakini sasa wameonjeshwa utamu wa ngano kidogo sasa wanataka pipa lote.

Ni kweli baba tunajua hela ilimuuza yesu lakini baba si ni yuda alijuta sana baada ya usaliti????????????????

Tunakuomba uwapige upofu woote wanaopinga mabadiliko na wooote wanaoyapuuza...........

Kwani BABA sisi tumekukosea nini sisi wanao hadi TUISHI NAMNA HII????????

1. GESI NI BEI JUU NCHINI

2. ADA SHULENI HAZIFAI HATA KWENYE PUBLIC SCHOOL TU KUNA WASIOWEZA KULIPA.

3. MAFUTA YOOOOOTE BABA... YA TAA, YA PETROLI, YA KULA N.K BEI NI JUU

4. KODI BABA TUNALIPA KWA KILA BIDHAA.... Yaani mfano baba yetu.. KAMA UNAKUNYWA MAJI ASUBUHI LT 1 UTAILIPIA NA KODI, UKINYWA JIONI BABA KODI NI ILEILE.

5. BABA HAPA NCHINI HATA ULIMEJE SOKO HALIPO NA KAMA LIPO BEI NI YA MKULIMA KUSHIKIWA CHINI NA KUNA WAKATI BABA WANAKOPWA NA HAWALIPWI KWA WAKATI NA WANAPOLIPWA WANALIPWA KIDOGO KIDOGO MPAKA HAWAONI FAIDA YA MAZAO YAO BABA.

6. BABA VIWANDA VYOTE VIMEKUFA BABA, MKOLONI ALIACHA VIWANDA KIBAO NA VINGINE VILIJENGWA NA JK WA KWANZA BABA ILA SASA HAVIPO. KAMA SIO BODABODA HIZI BABA BASI AJIRA KUU INGEKUWA WIZI NA UKABAJI. ILA TUNAMSHUKURU MTUMISHI WAKO MCHINA BABA.... AMETULETEA BODABODA AMBAZO HATA GRADUATE SAS ZIMEWAKOMBOA.

7. BABA MAHOSPITALINI SIKU HIZI UNAPIMWA TU, DAWA UTAJUA MWENYEWE????? NATAKA KULIA NIKIFIKA HAPA BABA ILA KUNA AMBAO WAKIUGUA TU BABA WANAPANDA MAPIPA YANAYOPAA YA MZUNGU, WANAENDA ZAO NJE KUTIBIWA.

8. HIVI BABA ULIKOSEA ULIPOWEKA MADINI AINA ZOTE TANZANIA??? TENA MENGINE YANAPATIKANA HAPA KWETU TU BABA. LAKINI HAKUNA HATA KIWANDA KIMOJA CHA KWETU KINACHOUZA BIDHAA ZILIZOKAMILIKA ZA MADINI YETU DUNIANI....

9. BABA NAONA AIBU KUSEMA KUWA TUNA TEMBO NA VIFARU TANZANIA. TUONEE HURUMA KWASABABU TUMEWAMALIZA WOTE WOTE WOTE. NA WENGINE WANAKWEA HAYO MAPIPA YANAYOPAA KABISA KWENDA NJE.

10. BABA, MTU WA CHINI YAANI TUNAOITWA WA KAWAIDA NCHI HII HATUNA LETU... SUKARI BABA, MIWA IPO TPC KIBAO, KILOMBERO NA KAGERA LAKINI KG YA SUKARI HAAAAAAAA.....

KWAHIYO TUNAKUOMBA UFUNGUE MIOYO NA MACHO YA WAPENDA MAENDELEO NA UFUNGE YA WASIOTAKA ILI IKIFIKA SIKU BASI MZEE WETU EDWARD LOWASSA APITE BABA.

SI NI SAULI ALIUWA SANA WATUMISHI WAKO NA UKAMUONGOA AKAITWA PAULO NA NDIYE MTUME ALIYEFANYA KAZI KUBWA SANA KUKUTANGAZA. SASA KAMA KUNA DHAMBI YEYOTE IMEFANYWA NA MKOMBOZI WETU HUYU WA KIZAZI KIPYA BASI TWAKUOMBA UISAFISHE NA UKAMUWEKE JUU NA WABAYA WAKE WOOOOTE WASHUSHE KAMA ULIVYOWAPANDISHA.

NA WOTE NAOMBA TUSEME AMEEEEN
.
Hili lisala lako nawe limetuchosha. Kila post unahangaika nalo. Nenda kasali huko na familia yako. Siasa na dini wapi na wapi?
 
Tena kama Star TV hata usomaji wao wa Magazeti kwenye kipindi chao cha asubuhi Tuongee Magazeti kimebadilika kabisa.
Habari za CCM zinapewa kipao mbele sana na kama utasikia habari ya UKAWA basi ni ile ya Kuiua. Au kwasababu Mmiriki wa Chombo hiki yomo kwenye kamati ya Kampeni za Magufuli?

Star TV ni channel ya kikada sana, sijui wanadhani ni channel ya chama? Inaleta kichefuchefu. Channel pekee inayotendea haki watanzania wote bila kubagua ni azam TV na itv kidogo, kina clouds nao hawaaminiki, wamepitwa na wakati, wapi kuleeeee, enzi ya chama kimoja
 
Tony Antony: wakinani vimetajwa vyama hapa au kweli mmelipia nyie hotuba dr kasava
 
Back
Top Bottom