laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
Hata warudie kila dakika kura zetu ni kwa Lowasa tu
Kwani kama amelipia kuna ubaya gani?wengine hawakupata nafasi jana,kuna kipi cha kufichwa
Kwani kama amelipia kuna ubaya gani?wengine hawakupata nafasi jana,kuna kipi cha kufichwa
kuna kipindi tulikubaliana hapa hakuna kuangalia TBCcm. nyie mnafuata Nini huko?
Sasa tunaanza kujiuliza kulikoni? Jama mmerusha live, mkarudia tena usiku wa jana, leo tena mnarudia tena?
Mbona wakati wa Lowassa kuama CCM kwenda CHADEMA hamkurusha? Na ikizingatiwa huyu alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika serikali?
Mbona sumaye alipo ondoka CCM na kujiunga na UKAWA hamkurudia na huyu ni mtu mwingine mzito?
Kwanini Dr. Slaa?
Kuna nini nyuma ya panzia? Ina maana Dr Slaa ni mtu mkubwa kuliko hawa hambao hakuona humuimu wa kuweka habari zao kama mnavyofanya kwa Dr. Slaa?
Naomba kuwasilisha:
Mbona hawakurusha/kurudia hotuba ya lowassa??