minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,309
- 22,319
Maombi ya watanzania kuwa kipindi kirudiwe ili wachambue mbivu na mbichi bila kuacha hata chembe!!
Watanzania wengi sio wajinga kama wachache (nyie). Watanzania wamefumbuliwa macho na Dr. Slaa.
Macho yapi wamefumbuliwa ? Wajinga ndiyo wamelala kusubiri kufumbuliwa macho kwa story za kutunga na chuki binafsi, Wajanja, welevu hawawezi kumwamini Slaa kwani maneno yake yametoka mbinguni kwa mungu? Slaa kanunuliwa kishamba ameshuka hadhi yake