TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

Yani nimecheka hadi jino la mwisho na mbavu zangu zinauma sana. hakuna tena haja ya kuhangaika na Slaa maana CCM tayari walishamaliza kazi wenyewe kwa kuonesha ni kwa namna gani wanahusika na jambo hili. Jamani hivi kweli Mzee Kinana na akili zako zote za kisiasa umekubali hiki kitu cha kuiua CCM kifanyike mbele ya macho yako kweli?! movie ilikuwa imeenda vizuri sana ila kosa lililofanyika la kushadadia sana hiyo movie tene wazi wazi tayari imefungua watanzania wengi waliokuwa nyuma ya SLAA macho. Timu ya ufundi ya CCM hamjifunzi tu yaliyotokea kwa ZITTO, LIPUMBA na sasa mmerudia kosa hilo hilo kwa SLAA tena?!
 
Jameni acheni warudie wamelipa pesa nyingi kumpata Dr slaa. Hiyo ni sawa mkanda wa harusi au mazishi lazima warudie warudieeee
 
Nazidi pata hasira nikiiskia natakani sana Octoba ifike na Novemba niuone tena huu mfumo.
Nico mm hicho kipindi cha TBC kurusha hayo matangazo ya Dr Slaa huko SERENA nakikosa sana
NAOMBA WARUDIE TENA LEO USIKU na watutangazie mapema
nataka nijihakikishie aliyoyasema eti walibebwa na mabasi
 
Huyu Mkurugenzi wa TBC atakuwa na Bachelor & Master za Vyeti tu! Kichwani ni Empty!
 
Sasa tunaanza kujiuliza kulikoni? Jama mmerusha live, mkarudia tena usiku wa jana, leo tena mnarudia tena?

Mbona wakati wa Lowassa kuama CCM kwenda CHADEMA hamkurusha? Na ikizingatiwa huyu alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika serikali?

Mbona sumaye alipo ondoka CCM na kujiunga na UKAWA hamkurudia na huyu ni mtu mwingine mzito?

Kwanini Dr. Slaa?

Kuna nini nyuma ya panzia? Ina maana Dr Slaa ni mtu mkubwa kuliko hawa hambao hakuona humuimu wa kuweka habari zao kama mnavyofanya kwa Dr. Slaa?

Naomba kuwasilisha:

Ningewashauri waifanye mazungumzo baada ya habari kwa kipindi cha mwezi mmoja.kama itawasaidia
 
Mimi naona hawa TBCCM bora wangeifanya hotuba ya Dr Slaa iwe kama tangazo ili wawe wanairudiarudia ili watosheke. Na kila wakimaliza kurusha hilo tangazo huwa wanapiga nyimbo za CCM kama vile Slaa ni kada wa CCM. Nyambaf zao!
 
Kazi ya vyombo vya habari vya serikali yoyote duniani ni kufanyia propaganda serikali ya chama iliyoko madarakani. Hayo aliyasema FT Sumawe,bungeni 2007.
cc😡PRINCE CROWN HAMY-D minyoo youngsharo

dah. Sijui kama unajua nini maana ya vyombo vya seriakali!

Au ndio ushabiki wakushabikia chama. Bila kuwa na uelewa wa kupambanua mambo.

Vyombo vya serikali sio vyombo vya chama kwa mujibu wa sheria. Vyombo vya serikali ni vyombo vya uma maana haviendeshwi na pesa za chama fulani. Bali uendeshwa kwa kodi za wananchi upo?

Vyombo vya chama ni gazeti la uhuru.mzalendo. Na radio na tv uhuru. Hivi ndio vyombo vya chama.

Kwa iyo ndugu. Ujue jinsi ya kutenganisha. Vyombo vya chama na serikali.
 
Last edited by a moderator:
We pressure yanini wakati mnasema hata kama ni fisadi mtamchagua hivyo hivyo,acha wananchi watambue vizur ni kivipi anaitwa fisadi kisha wakamchague hivyohivyo,wacha dr afumbue watu macho we tulia malalamiko ya nini!

mknd (mkanda) wako! unataka kusema nini hapa? mwisho wa CCM unakaribia...mlikuwa wapi miaka 8 iliyopita hamjampeleka mahakamani? kama huna ushahidi kaa kimya, kenge mkubwa wewe!
 
dah. Sijui kama unajua nini maana ya vyombo vya seriakali!

Au ndio ushabiki wakushabikia chama. Bila kuwa na uelewa wa kupambanua mambo.

Vyombo vya serikali sio vyombo vya chama kwa mujibu wa sheria. Vyombo vya serikali ni vyombo vya uma maana haviendeshwi na pesa za chama fulani. Bali uendeshwa kwa kodi za wananchi upo?

Vyombo vya chama ni gazeti la uhuru.mzalendo. Na radio na tv uhuru. Hivi ndio vyombo vya chama.

Kwa iyo ndugu. Ujue jinsi ya kutenganisha. Vyombo vya chama na serikali.

Mjinga Sana Eti Sumaye Aliyasema 2007 Kwan Alikuwa Anafanya Nin Bungen Mwaka Huo?
 
achaneni na hayo...akili za kikwete mwana wa Ogiro wa RORYA.
 
CCM ilikuwa imebakiza risasi moja tu katika bunduki yao ya kuimaliza UKAWA. Risasi hiyo ni hotuba mbovu,isiyokuwa na ukweli na ya kumezeshwa ya Dr.Slaa katika Hotel ya kifahari ya Serena kuiponda UKAWA na Lowassa huku vyombo mbalimbali vya habari vikirusha Live na kurudiarudia hotuba hiyo mbovu,ya kutunga,na ya kilaghai. Kutokana na kuwa Lowassa ni mpango mkubwa wa MUNGU kuikomboa Tanzania kutoka katika kundi hatari la CCM Dr Slaa ameweweseka na kujikuta akipiga risasi katika upande wake yeye na watu wake hao waliomtuma,kumlipia hotel na ndege ya kukodi kutoka Afrika ya Kusini,na kwenda Marekani ambapo ataendeleza propaganda za siasa nyeusi na chafu hasa kwa kushirikiana na makada kuntu wa ccm ambao watawatumia vijana kadhaa kwa kwavalisha mavazi ya cdm na kuandamana.Dr.Slaa hajali tena maslahi mapana ya Wananchi wa Tanzania.Amelipua bomu na ametokomea kukwepa madhara yake huku watu wa upande wake wakiangamia.Ni matumaini yangu wapenda mabadiliko wote watatambua kuwa hayo yote ni mateke ya mwisho ya ukataji wa roho wa ccm na makada wake waroho wa madaraka!!Hatutapiga magoti na wala hatutosalimu amri...TUNASONGA MBELE,KAMWE HATUTORUDI NYUMA!!!!LOWASSA NDIO TUMAINI LETU!!
 
Sasa tunaanza kujiuliza kulikoni? Jama mmerusha live, mkarudia tena usiku wa jana, leo tena mnarudia tena?

Mbona wakati wa Lowassa kuama CCM kwenda CHADEMA hamkurusha? Na ikizingatiwa huyu alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika serikali?

Mbona sumaye alipo ondoka CCM na kujiunga na UKAWA hamkurudia na huyu ni mtu mwingine mzito?

Kwanini Dr. Slaa?

Kuna nini nyuma ya panzia? Ina maana Dr Slaa ni mtu mkubwa kuliko hawa hambao hakuona humuimu wa kuweka habari zao kama mnavyofanya kwa Dr. Slaa?

Naomba kuwasilisha:

Maajabu haya!! never happened before
 
tulishafanya maamuzi ya kuipigia kura ukawa.hakuna porojo zozote zinazoweza kubadili kubadili huo msimamo.
 
Back
Top Bottom